Pole sana,kaka inawezekana mke wako upendo umepungua kwako,jaribu kufanya utafiti wa kina,mlivyoanza mahusiano mpaka hivi sasa kwanini kuwe na mabadiliko lakini usikate tamaa jaribu kuongea naye mkiwa wawili tangu mlivyoanza na kumuuliza kwanini anakuwa hivyo usitumie nguvu jaribu kuwa mpole...
Ni vizuri kuwa wavumilivu mwisho wa mwisho lazima kieleweke japokuwa kila mtu hupenda kupata uhakika wa jambo analolihitaji kwa wakati ,tatizo bongo ilishakuwa kawaida kwenda kwa kusuasua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.