huyu kufikiri kwake naona ni sawa na mtoto wa kindagaten ,sasa vipi kuhusu vyuoni ka udsm, udom,mzumbe c kuna mkusanyiko wa watu wengi au ndo ile danganya watanzania wasiokuwa na upeo wa kufikiri zaidi hapo kova kaboronga au ni uccm umetawala hapo? Waling'ang'ania walipe hilo deni wananch...
hakuna dini itakayo mpeleka m2 mbinguni ni imani ikiambatana na matendo kaka ! Ninavyofahamu freemasory huwa ni dini ambayo haitendi mema ya kumtukuza mwenyenzi mungu zikiwemo kafara!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.