Na kama mwajiri kwa nini umwombe mtu cirtified wakati utaziona original wakati wa interview au appointment kama unamchukua mwombaji aanze kupata cost kubwa kabla hata ya kazi application tu kuzituma zaidi ya 10,issue wanaongeza cost ?
Hongera na hasa kwa record keeping nadhani na wengine tutaiga maana inafikia wakati unaitwa kwa interview hukumbuki hata uliomba kazi gani unaishia kuonekana mbabaishaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.