jamani jamani msidanganyike na hawa watu,hapa nilipo najuta kuolewa na msukuma maana napitia jehanamu ya duniani.Ni makatili,hawana utu,hawajui mapenzi ni nini yaani aghhhhhhhhh!!!!!!!!! sifa za kijinga lakini nyumbani hakufafanii na sifa zake, katika mambo ninayojuta kuyafanya hapa duniani ni...
umebanwa pabaya mkuu siri zote nje .......na shem ndo akiona umekwisha,kuna ukweli hapa mbona unaonekana kupanic,,,,,,una watoto wawili jf unajifanya single kha jamani mungu atusaidie
kwanza mi naona hawa wanaume hata kupewa kuwa kichwa cha familia hawakudeserve kwa sababu ni wadhaifu na wenyewe huwa wanakiri kuwa ni wadhaifu sasa mdhaifu atakuwaje kichwa cha familia???unakuta kichwa cha familia hakijielewi wala hakijitambui,mlevi mzinzi hajali watoto aghhhhhhhhhhhhhhhh...
Mimi ninaye huyo mwenye sifa zote utakazo lakini najua si kweli unamtafuta kwa kazi za nyumbani bali unataka ummege tu na kumtumia kwa ufuska kwani hata thread yako uloanzisha ya kumfuatilia demu posta dar akakuzingua nilikupasha uache ufuska coz una mke na watoto ukabisha sasa leo...
ningemjua huo dada ningemwambia akatae kwa sababu wewe ni fataki,si una mke na watoto wawili wewe?au unadhani hatukujui?khaaaaaaaaaa kaka umalaa utakuua, ukimwi uko likizo au?
hilo neno,hata mimi huwa najiuliza hata kuwa manage inakuwaje wakiwa wengi au ndo wengine unasaidiwa?aghhhhhhhhhhhhhhhhh ndo maana umasikini hauishi halafu tunalalamika kumbe tunajitakia kwa kuwa na mlolongo wa manamake ,wengine hata nguvu za kiume hazitoshelezi wanaishi kwa viaga ili waonekane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.