Jamani nani atujulishe lini wanaita kwa interview maana kuomba Kazi tu ilikua Kazi.TRA badilisheni online application system yenu sio user friend kabisa
Habari wanajamii
Natumai mko poa katika kulijenga hili taifa letu.
Mimi natafuta agent wanaotafutia watu kazi hususani Dubai,Oman na Qatar.
Nina Degree ya Property and Facilities Management.
Certificate in occupational health and safety.
NBMM level 3.
Zaidi focus yangu ipo zaidi kwenye...
We are looking for a graduate civil engineer,quantity surveyor or an architect to join our company for the ongoing project.FTC holders may also apply.Send your cv to propertysolutiontz@gmail.com
MK CIVIL CONSTRUCTION AND BUILDING CONTRACTORS LTD.Kindly looking for a registered civil engineer for more information.lets contact at propertysolutiontz@gmail.com
Wadau naomba mnipe ushauri na a way forward.
Mimi ni graduate ila si engineer ingawa nimefanya mambo ya construction pale UCLAS. Nimesajili kampuni ya contractors BREla sasa nataka kwenda CRB kusajili.
Tunatafuta registered engineer civil engineer ambaye we can partner katika kukamilisha...
Graduate in Bsc in Property and facilities management from Ardhi University(Former Uclas).4+ years of experience in retail stores management is kindly looking for a related job.Please advice/connect me to the developers/Real estate inverstors you know since i can do door to door job...
habari zenu wadau.mimi ni ni muhitimu mpya kabisa nimemaliza pale CHUO KIKUU ARDHI (zamani uclas) degree ya kwanza ya sayansi katika usimamizi milki(Property and facilities management/estate management).Natafuta sehemu ya kufanya kazi kwa kujitolea ili kuongeza ujuzi wa vitendo.naomba kuwasilisha
Habari zenu wakuu? natumai mko poa katika.mimi ni fresh graduate toka uclas(now ardhi university) kozi ndo hiyo property and faclities management degree class lower second.experience kidogo kupitia field attachment nhc.nssf,.please wadau naomba msaada kama kuna mtu anajua kampuni yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.