Habari zenu ndugu zangu poleni na misukosuko ya hapa na pale.
Naomba nijue kuhusu usafiri wa treni kwa Dar es salaam utaratibu unakuwaje mfano Dar kwenda Mwanza inakuwa bei gani na inachukua siku ngapi au masaa mangapi na je usafiri w treni ni salama na tiketi yake unakatia wapi manake sijawahi...
Habari ndugi zangu
Naomba ushauri juu ya uzazi wa mpango ni njia gani nzuri na isiyokuwa na madhara kuna kila njia wamama wanatumia kijiti kitanzi sindano na vidonge kwa waliotumia je mmeonaje?
Habari zenu?
Naomba kuuliza: Kwa akina mama waliojifungua mwanamke anatakiwa akandwe maji ya moto siku ngapi?
Naomba ushauri jinsi ya kujiweka vizuri wakati ushajifungua.
Habari ndugu zangu
Mimi naomba msaada kama kuna mtu anafahamu atakaenisaidia. Mimi nilienda Ubungo Plaza pale NSSF kufungulisha account tangu mwezi wa sita mpaka leo kila nikienda naambiwa kadi yangu bado
NSSF wanasema mashine zimeharibika wakati wengine wanapata sielewi tatizo ni nini naomba...
Mwanaume ana roho mbaya huyu nimejaribu sana kuongea nae vizuri lakini yuko na jeuri sana mie naamini serekali itanisaidia kwani wngapi wamesaidiwa wtt wadogo bado 12,10,8 wa miaka hiyo
Kwanza kabisa mie nilikuwa mama w nyumbani tangia kaniacha hakunisaidia na wala hakunipa chochote unaweza ukaangalia historia yangu ipo hapa jamii forum naishi na mama kaka ndo ananisaidia na wanangu huyu bwana alikuwa hawapi gharama z chakula wala mavazi shule peke yake alikuwa analipa mpk...
Unayesema nimempanulia angalia lugha yako kwani unapokuwa mke wa mtu si ndoa halali sikuenda nje kuwapanulia hapa nimekuja kuomba msaada sio kusikia hayo unayoongea n huyu si mume wngu ni x sasa tulishaana mda miaka minne
Habari zenu ndugi zangu naomba. Msaada wenu mtu wa kunisaidia kwenda mbele kwenye serekali
Mimi ni mtanzania nina. Watoto watatu ambao nimezaa na mume ambae ni foregnor wa nchi ya pkistan na ambae nishaachana nae sio mume wangu tena leo.
Miaka minne sasa kawachukua wtt huko kwao leo miezi...
Kweli unayosema na nimefanya hvy leo miaka miwili lakini zulma. Inazidi nifanyeje hana ukarimu huyu bwana ananikomoa anawapa tabu wtt ana haribu elimu yao mie pia sipendi kuhangaika ila naona kazidi atleast awe na huruma lakini hana
Habari zenu ndugu zangu nimekuja tena hapa ili nipate kusaidiwa nanyanyasika sana na watoto wangu na sijui pakwenda na kupata haki za watoto kwa haraka bwana niliyemuacha hawahudumii watoto leo miaka miwili analipa shule tu lakini chakula, Mavazi hamna na mambo mengineyo mtoto wa kwanza...
Pia nitawashauri wenznagu mnaoenda supermarket muwe mnaangalia expire date huko pia tuanauziwa vitu vilivyo expire mimi mwenyewe nimeona na nimewaambia lakini wanajifanya hawajaona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.