Tatzo hujui ukweli kuhusu mizan..tatzo la mizan za bongo..znatofautiana.ukpima kibaha unambiwa iwepungua tone 3 ukifka moRO wanasema imezid 2 ukienda kihonda hapo hapo moro unambiwa ipo sawa..dodoma imezd...sasa jiulize hzo mizan znafanya vp kaz...watu ni rushwa njia nzma..na mwenye gari...
Rudi nyuma soma history ya viongoz wa mataifa makubwj ..usa. Russia..utajua kuwa marais wao karibu wote ni matajiri na wafanya biashara ila huwa wana declare interest zao ku avoid comflict of interest...ni kama viongoz wetu wa chadema hawafich biashara zao wanalipa kodi husiku wanatoa...
Huwez maliza matatzo duniani hata upewe pesa lundo. huyo baharesa mwenyewe ndugu zake zanza wana njaa. Wamechoka..ila mwanae anamiliki majumba na magari ya kifahari
M2 mwenye akil ndogo kama wewe ndo anaweza kumpgnga jaydee...hli lpo waz fa ana2miwa kukandamza wasanii wengne...kumbuka enz ya antivirus....fa alihuska kuhujumu wakna sugu...leo fana jayde show zlikuwa 30th may nkasema maybe imetokea bahat mbaya ila last week jaydee kutangaza 2 tarehe 14june fa...
Sugu akiwachana magamba na clouds fm.....Mheshimiwa Spika,-sanaa imeendelea ambao wanatumia nguvu waliyo nayo katika jamii na uwezo wao wa kifedha katika kukandamiza maslahi ya wasanii hapa nchini. Katika harakati za kutafuta haki za wasanii hapa nchini, mimi binafsi pamoja na wasanii wengine...
Hana jpya.. anatapatapa 2..kashkwa pabaya..tatzo hajielewi anachongea....n anajua kuwa wao ni .maharamia kwa kaz za waSanii hata huyo diamond cku akimkataa ruge asiwe manager wake.. hatopgwa radion. tatizo hawapend wasani wajitawale..wanataka wawatawale na kuwagawa ili wawa nyonye...
Hawa jamaa ni walafi na zulumati...wana wanyoya sana wasanii na kurudsha x
nyuma mzki we2 ona leo hii proffesa j nae hapgwa radion ksa kaimba na jayde...angali anord kayanda alifukuza kazi na ruge sabab alikuwa anatembea na racho mtoto wa tht ambaye ni hawara wa ruge...angalia pale tht ruge...
Mama tunataka majibu juu ya ubomoaji wa hekalu la mh Getrude Lwakatare... maana naona wizara yako ina meno kwa kuboa nyumba za maskini ila kwa vigogo kama waheshmiwa pale mjengon na Serikalin inapata kgugumiz na sintofaham nyngi....
Mama tupe ufafanuzi.....vip kule kunduchi juu ya ujenz kwenye...
Jakaya alilijua swala hila ndo maana
2010 aliwambia ni bora yeye kukosa urahc kuliko lissu kuingia bungeni.... Nimeamin kweli lissu kboko ya magamba....mpaka kieleweke mwaka huu...sema ilitakiwa wabunge wa cdm wote watoke bungeni kumpa support lissu
Zitto ......Well said mkuu nakuamin kila sikuwewe huwa wa kwanza kuwaonyesha njia na ukomavu wa kisiasa naamini kiongoz makin hutoka ndani ya wa2 makini waliotayari kwa changamoto zilizo mbele yao...kaka zito .wewe ni picha nzuri yenye ujumbe mkini kwa vijana wa ktanzani . Nakutakia mema na...
Home of great thinkers....huu ni mtazamo wangu.
Mimi ni mmoja kati ya watu wanaopinga hzi harakati za kibepari na kikabila ndani ya NHC. Ikumbukwe nhc si kampuni binafsi bali ni shirika la nyumba la taifa sasa basi ndugu mchechu wma team yake wamekuja na strategic zao za kibepari kwenye mali...
Hii sio siku ya wanawake wanaojua model za kila. aina ya simu. Mwanamke kila cku anauliza leo 2nakula bata wap. Mwanamke kla pcha kwenye ig yake anaonekana kwenye nyumba za watu au hotelini kama hana kwao.mwanamke anaekesha coco beach utadhan anataka kuwa baharia. Wanawake wanaoshnda wamelala...
Hii sio siku ya wanawake wanaojua model za kila. aina ya simu. Mwanamke kila cku anauliza leo 2nakula bata wap. Mwanamke kla pcha kwenye ig yake anaonekana kwenye nyumba za watu au hotelini kama hana kwao.mwanamke anaekesha coco beach utadhan anataka kuwa baharia. Wanawake wanaoshnda wamelala...
Usimshutu tenga eti ana hekalu...unajua alikuma nan kabla hajaingia tff..ckia njaa zako usilinganishe na mafanikio ya watu na ndo maana cc wa watz 2mawivu wa kijnga..faham mke ma tenga ni mtu mkubwa sana tcra...tenga ni m2 aliejitosheleza. hana njaa za kima wamambura kwa maana hata hi ungwe ya...
Sisi watanzania 2mamatatizo sana... Hv kwa nin ha2jiulizi kwa nini hawa kina wambura wanangangania tff? angali 2najua kuwa tff ni mahala pakujitolea na si ajira ..sasa 2jiulize kuna ajenda gani ya siri kwa hawa mabwana kutumia nguvu kubwa kiasi hki ili kuingia madarakan.. mi sidhan kama wambura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.