Zile movie na miziki kwenye basi imekua tatxo hawangalua inatakiwa iangaliwe na watu wa umri gsni...unakuta mtu upo ma watoto lakini wanachoonosha kina enda kinyume na umri ulioruhusiwa kuona
Kwa kumbukumbu zangu tafuta kitabu cha kiswahili darasa la saba mtaala wa miaks ya 90s....sehemu ya tatu alienda kwa mtabiri wa malimwengu akashauriwa arudi tena msituni huko shetani alimwambia awape marafiki zake ...aliporudi kwa mtabiri akamwambia marafiki wa shetani ni wezi na wanyang'anyi so...
Unakosea Pengo sio mkuu wa kanisa katoliki Tanzania na hakuna wakuu wa kanisa kwenye nchi...kasome majukumu ya cardinal na ukumbuke kuna makadinali ambao sio maaskof he hao inakuaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.