nimeumiza sana kicha juu ya ni mda gan mwanaume au mwanamke aamue sasa nataka kuowa au kuolewa kwa sabab watu wengi hufanya hivyo pindi wanapokuwa na pesa za kutosha, wengine wanapomjaza binti mimba na wengine pale umri unapoenda sana na kuogopa aibu huku wengine wakifanya hivyo kwa...
jaman mbona mnawalaumu tu wanaume, yawezekana wanawake wa siku hiz ni wagumu na hisia zao ziko mbali sana mpaka uwanywee pombe au gym ndo uweze kuwaridhisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.