Mkuu nenda CITY Driving school wana matawi Shekilango, Mbezi ya Tegeta, na ubungo external. Hawa wamesajiliwa na VETA. Wanafundisha kwa wiki 4 na ada yao ni laki moja na sabini.
<br />
<br />
Nina wasiwasi na uelewa wako mkuu! Kama umeiona hiyo hotuba ya mh Lema kwa mtizamo huo basi unaumwa na hujijui, omba ndg zako wakupeleke hospitali! Usiende mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.