Hivi huyo Kamishna wao anavyo sema ameunda tume na wapewe nafasi mibinafsi haiingii akilini sababu kama nitume ilisha toa majibu ya yote waliyo yaona pale KIA-Kilimanjaro, Pamoja na hao wote wanao watuhumu kukutwa na huo Utajiri wengi wao ni watoto wao na walio karibu nao
Hivyo wakaona bora...
Juliani : utakuwa ni mmoja wa vigogo wa Uhamiaji wanao chunguzwa. Maana wote wenye matatizo kwenye hiyo Kampuni ndio wana walalamikia hao unao watuhumu na kwanini iwe kwa wa Makao Makuu na isiwe huku Singida, Kwa Upande wa Chuo pale Moshi ndio Kishakufa kimekuwa sehemu ya kukodisha sasa hakina...
Sihatari kiivyo niwakawaida nimuhongaji mzuri sana kwa watumishi wa Umma hasa Uhamiaji Arusha na baadhi ya maafisa Uhamiaji Makao Makuu Dsm, Hajawawi kupata kibali halali cha kuishi na kufanya shughulizake hizo za kusafirisha Ndege na Wanyama walio hai, Pia anabiashara ya kuuza magari karibu na...
Kapigwa changa Mpemba nivisasi tu wengi walio hamishwa ni kwa husda tu si kwa tija kama anavyo tarajia:Mfereji vuta subira nadhani utakuwa Mtwara wewe Rukwa tayari
Kwa upande mwingine tofauti na matatizo yaliyopo ndani ya Idara hii ya Uhamiaji hasa kwa maafisa wao na utendaji wao,Napenda kutoa pongezi kwa Mkuu wa Uhamiaji Mkoa Dar(RIO) simfahamu kwa jina ila alitokea Mkoa wa Kilimanjaro huyu jamaa yuko makini na kazi yake na tangu amefika mabadiriko...
Director: Umenena ila naskia alichukua hatua Nchini kwake kwakuhamisha wapale Airport kwao,Sijui huku Kwetu maana kaona hao 8,Kwa faida ya maslahi ya Nchi angeachana na hayo majina ambayo ukiangalia ni ya kinafkitu aondoe wote wanao jiita makamishana na Manaibu wao ambao niwengi zaidi ya...
Hivi hii Kampuni ya Uhamiaji imesajiliwa Brela kweli maana sidhani kama ni ni moja ya Idara za serikali sababu iko kibinafsi zaidi,Ni mtazamo tu wana JF
Hii ndiyo TZ yazaidi uijuavyo jameni,Inakera sana,Kwanza huyo Mpakistani ana Kibali fake chakuishi Nchini yeye na wafanyakazi wake wote wa Kipakistani hapa Arusha vimeotu,Uhamiaji nao wanahusika hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.