Hello wapendwa natafuta mtu wa kunisaidia marketing niko Dar es salaam nina kampuni tumesajiliwa na tunatoa receipt za EFD tunadeal na general supplies sema kwa sasa tunasupply vegetables,Fruits,Lkn na Detergents hasa hz liquid soap au sabuni nimebase kusupply kwenye hz restaurants na hotels so...
Habari Wapendwa wa Jamii Forums
Natafuta mkulima wa hizi tufanye biashara hii inaitwa English Cucumber kama inavyoonekeana hapa pichani.
Kama naweza pata mtu tuwasiliane kwa namba hii 0684-753836
Hello Wapendwa naomba mnisaidie kwenye kujua wapi naweza pata matunda haya hapa chini kwa bei nzuri au mfanyabiashara anayeleta mengine yanatoka South Africa naomba msaada jamani.
IMPORTED ITEMS
Asparagus
Peaches imported
Nectarine imported
Plums imported
Grapes green/red
Tangerine imported...
Pole ila wahenga walishasema mtegemea cha ndugu hufa masikini vile vile biblia imeandika Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu hvyoo jitafute ujipange upya muda bado upo ni heri umeshtuka na 32 kuna wenzio walishtuka na 40 na kuendelea
Hahahah hats mimi hayo mambo ya kipaimara cjui komunio bado cjayaelewa hata ndoa kwani wale kina Suleiman walifunga ndoa na c ndo walikuwa watu wa karibu sana na Mungu.Ni kama kuna vitu tumekariri hv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.