Sitakuja kutumia FEDEX Tanzania maisha yangu yote. Kwanza imechukua zaidi ya mwezi mzigo kutoka airport alafu local charges zao zipo juu sana. Wanachelewesha makusudi unakutana na gharama za storage. Mzigo nilinunua $35 marekani. Ila gharama za hapa imeshafika 300,000 plus mpaka sasa hivi. Bora...
Nahitaji kiwanja maeneo ya ununio, bahari beach, mbweni JKT au goba(karibu na barabara)
kiwanja kiwe kinaanzia Sqm 1000
budget ni 40m
kiwanja kiwe kina hati
pm kama unacho
Rav 4 three doors Year 2002 cc 1800 inauzwa ipo mwanza. Inauzwa milioni 17 maongezi yapo. Imeingia Tanzania mwezi huu 05/2016. Plate number ni DG. Kwa mawasiliano piga namba +255784369230
biashara kwa mwezi inatokana na mtaji wako. ukiwa na mtaji mkubwa unaweza kuleta ata tani 10000 kila mwezi. Faida ipo kubwa tu. mafunzo ni siku mbili tu maana machine yote ipo computerized
Habari wakuu
Nahitaji shamba au kiwanja barabarani au karibu na barabara ya lami wilaya ya Bagamoyo au Kibaha. Mwenye nacho ani pm bei na size. Whatsapp 0685085378
Asante kwa maswali yako, Nakujibu kila swali kwa mtililiko uliotumia
1. Vibali sio vingi sana ni kama biashara nyingine tu ambovyo ni leseni ya biashara na TIN sema inaongezeka industrial licence ambayo inatolewa na wakala wa usajili BRELA, vibali kama vya usalama inabidi uwe navyo vyenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.