Ndg zangu wanabodi,nawasalimu nnyote.
Ni kweli kwamba Mh Rais Magufuli si malaika kwamba,kila afanyalo asipate mtu wa kumkosoa.Hiyo ni hulka ya binadamu na hakika hakuna aliyekamilika.
Lakino ndg zangu,kama angepewa nafasi na kueleza uchafu,upuuzi,wizi na ujambazi uliofanywa kwenye rasilimali...
Wana Mbinga,kutokana na matendo ya ubadhirifu wa fedha na ulaji rushwa kwenye kandarasi zinazotolewa na Halmashauri ya Mbinga,ikimuhusisha DED Bw Ngaga.Mkae mkijua muda si mrefu maendeleo katika Halmashauri hiyo yatakuwa sawa na hadithi za alinacha.
Kandarasi zote za ujenzi katika Halmashauri...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida hivi karibuni nimeshuhudia kosa la kugushi saini ya Mwl Nyerere katika Hati ya Muungano.Kwa yeyote mwenye kumbukumbu njema atakumbuka kwamba saini ya Mwl Nyerere siku zote alikuwa akiandika ufupisho wa jina lake la kwanza kwa maana ya J ikifuatiwa na ufupisho wa...
Wanajamvi naomba kuuliza kwa nini wasichana/msichana anapokaribishwa kutolewa out labda kwenda kupata lunch/dinner au chochote kama hicho siku ya kwanza lazima aje na msichana mwenzake kwamba wa kumsindikiza ?na unakuta siku mlipo kuwa mnapanga huo mtoko mlikuwa wawili tu ,Hatukupanga kwamba...
Ndugu zangu Wana JF,ushahidi ulio wazi umethibitisha bila kuacha hata chembe ya Shaka kwamba JK aliruka kuingia Ikulu kwa Kutumia EPA Flight No.2005 iliyoongozwa na Rubani Rostam Abdulrasul Aziz kwenye Control Tower ya Kagoda, Wantanzania wameumeza ukweli huo kwa maumivu makubwa sana huku...
Katika kuchangia hotuba ya Ngeleja, Mh.Hamad Rashid amewataka wabunge wenzake kubadili sheria za madini kwa kutumia kamati za bunge ambazo zimepewa mamlaka hayo kisheria.Wazo hilo la Hamad Rashid limekuja baada ya kuongelea mkataba wa hovyo sana katika mgodi wa Mwadui Shinyanga.Nashindwa kuelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.