Eti jamani, ni kweli kwamba kuolewa ni heshima........na kama kweli how and why?
Kwa sababu siku hizi mabinti wanaolewa hata na wanaume wasiowapenda wakiitafuta hiyo 'heshima'
Watu wamekuwa fake kwa mahusiano wakificha tabia zao halisi ili waolewe, baada ya hapo ndoa zinakuwa ndoano
Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.