salam wakuu .
nimepokea zawadi ya cm aina ya SAMSUNG galaxy wonder. ni android 2.3.6 cha ajabu haina icon ya market wala play store so siwezi kudownload apps kutoka google . ila whatsapp iliwezekana kwa kufosi. ni kama haijkua registered hivi . kwa mwenye uelewa anisaidie tafadhali nimezoea...
wana jf amani iwe juu yenu.
wakuu natumia android dabo line ambayo inayojulikana kwa jina la eastcom, lkn ina muonekano na function sawa na htc, hii cm wametengeneza kina huha,china, na nlipewa km zawadi.
cha ajabu ni kua kila nnapowasha intanet nahis km inatoa rays na inasababisha mikono kua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.