Na vipi kuhusu watu wa ushuru, hawatasumbua njiani? Maana mara nyingi wanavizia mabasi yanayotoka huko wakijua kuwa lazima kuna wafanyabiashara waliofunga mzigo wa vitenge.
Heshima yenu wakuu, naomba msaada kwa anayejua website inayoonyesha nafasi mbalimbali za consultancy kwenye NGOs mbalimbali mf. Evaluation, training n.k
Wana jf naomba msaada wa anaefahamu nyumba za wageni nzuri na safi sinza...ziwe zina price range ya twenty five to fifty thousand. Na zisiwe mbali sana na shekilango road. Natanguliza shukrani
Wana jf nihataji kununua rav4 milango mitatu ya mwaka 1996-1999 (auto) ambayo ipo ktk khali nzuri. Bei isizidi 9m. Mwenye kuweza fanya hiyo biashara ani pm.
Natanguliza shukurani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.