Ninatatizo ambalo nahijaji ushauri.Mafuta yoyoyte nikipaka ninatoka rashes na kuwashwa pale nilipopaka yale mafuta.Nimepima allerge lakini sikuonekana na tatizo.Hali hii inanisumbua na kuninyima raha,naomba ushauri tafadhali.
ninaposema baada ya wiki tatu maana yake ni kwamba,ninamabanda matatu ambayo yanakuwa na kuku kwa kupishana,la kwanza wiki mbili ndio naingiza wengine 1000 kwenye banda lingine na hawa wakifika wiki mbili naingiza wengine banda lingine au kuwapishanisha kwa njia hiyo, na sivyo unavyofikira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.