Check these
1.una stress zozote?
2.Una jambo unalisubiria kwa hamu
3.Je unasoma neno la Mungu mara kwa mara? maana kama usipokuwa na uelewa wa jinsi Roho yako inavyoona kiu na njaa juu ya neno la Mungu, unaweza kuitafsiri kama njaa ya tumbo la chakula.
Kama unavyokula kila siku nafsi yako pia...
Uko sahihi sana Kalunya, matatizo mengi sisi wenyewe wanajamii ndiyo tunayatengeneza,its a never ending cycle, vizazi vyetu vitateketea tukiendelea kuishi ndani ya uovu, so tubadilishe kutokujali kwetu tuwe watu wenye kujali.
Mungu utusamehe sisi🙏🙏🙏turehemu Bwana aikate hii laana isiendelee...
Yes, hasa hasa kama hilo swala lina maslahi mapana kuliko ndoa, wana andika script na mke then series inachezwa.
Mfano wanaficha siri kubwa inayoweza kuwagharimu sana.
Pengine wametoa kafara tarajia ongezeko kubwa.
Sijui kwa nini kila nikisikia habari hizi nakumbuka sana habari ya "Kishindo cha wakoma 4 kilicholikimbiza jeshi zima la washami"
halafu natabasamu 😊😊
Na kwa vile leo ni jumapili wacha tuimbe kidodo.
Hii vita ni Mungu mwenyewe anawashindia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.