Kweli akili yako kina kirefu tena kina kirefu cha Ibilisi mlaaniwa.
Nani kakuambia kula nguruwe ni sunna?Huo ni ushetani unaofuatwa na hao akina Konde na Simba
Tumia ubongo acha kua mpumbavu tupe ushahidi wa haya uliyoyaandika.Acha kufikirishwa na chuki zako kwa Binadamu anayeheshimika na Binadamu zaidi ya billion moja kote dunian.
NI KWANINI NYIE WAKRISTU MUNAMCHUKIA MTUKUFU MTUME MUHAMMAD(Rehma na Amani ziwe juu yake na kizazi chake kitoharifu) kwa...
Haya wewe mwenye akili mpya asokua chakavu unajua nn zaidi ya kula kila unacholishwa.Tunawajua Wakristu hawawapendi Waislam na sio tu kwamba hawawapendi wana chuki haswaaa na Waislam.Sijui kwaninin!!!Halafu kila anachoambiwa na Padri,Mchungaji au Muinjilist wake kwake ni sheria.Hao ndio wenye...
Baadhi ya Wakristu wasiofikiri wamebebwa na wimbi la propaganda za Islamophobia na kuwachukia Waislam,wameshibishwa kwa propaganda na maelezo potofu na sasa na sasa wanatapika CHUKI NA UADUI dihidi ya Uislam na Waislam.
Haya twende hivyo hivyo
Nawaza tu ingekua vipi yule anayeitwa humu JF na wenye chuki "mvaakobaz",angetembelewa na balozi wa Saudia,Iran au Qatar!!Ndiyo ungejua jinsi udini ulivyokolea JF.
Neno "uwekezaji"lisingeandikwa kabisa.
Mkuu mashabiki wa Ukristu ambao ni ujinga tu unawasumbua ni wengi humu.Wao Israel ni Ukristu!!
Hawajui chochote kuhusu Israel
kama ambavyo hawajui chochote kuhusu Ukristu wanaouamini.
Shame on them all
We STAND WITH HUMANITY
We STAND WITH PALESTINE
Kupigania nchi yako ni ugaidi
Wakati Nelson Mandela akipigania uhuru wa Afrika Kusin aliitwa gaidi.Jee Mandela alikua gaidi.?
Huna hata akili kdg ya kutambua mambo ndugu yangu????
Mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kibaguzi wa Israel yanayoendelea Ghaza ni utibitisho wa unyama na kukosa utu kwa Wazayuni kwa lengo la safisha safisha ya kikabila inayofanywa na Waisrael mbelya Walimwengu wanaojiita wastaarabu.
Ubinadamu kwanza
Tusimamie Haki
Wakristu wanatuchukia sana sijui kwa nini,Kila utani na kejeli inaletwa kwetu Utasikia ooo mvaa kobazi.
Halafu eti oooh kuna kamati ya maridhiano ya dini.
Ninashangaa sana
Naona issue ya mabikira 72 inawatoa roho sana nyie kila ninakosoma ni mabikira 72.Acheni wivu,na acheni chuki.Kwani wakipewa hao mabikira ww inakuuma nini.Wewe tembea na Yesu
Mkuu kuna watu humu (member) maisha yamewapiga na wamechanganyikiwa,kwa hiyo wanajifariji kuandika ujinga ujinga tu humu au kufanya vituko tu ili mradi siku iishe walale.Ni stress zinawasumbua tu,hawako kuelimisha ila kupoteza muda tu muda wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.