Kashfa kubwa ya rushwa Bunge la Tulia Ackson
January Makamba ameandika historia.
Kiwango cha hii rushwa hakijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru.
Akiwa mtoa rushwa mkuu, January Makamba, amehonga Bunge zima la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa waziri
Je, ndoto yake ya kuwa Rais...
Rostam Aziz alishauza hisa zake Vodacom muda mrefu sana. Hii nayo ni scandal kubwa zaidi, kwani hakulipa capital gains tax na sasa Vodacom Tanzania inamilikiwa na wageni kwa asilimia 100 kinyume na sheria.
Lowassa hawezi kuongea sana kwa sababu anaogopa kuzomewa kutokana na tuhuma za ufisadi, pia ni mgonjwa mpaka aotee siku akiwa fiti kusimama na kuongea japo kwa dakika 5. Huwatuma wapambe wake, ambao ni Peter Serukamba, Beatrice Shelukindo, Vita Kawawa, Makongoro Mahanga, Diana Chilolo, Kingunge...
Mkuu hapo umesema ukweli kabisa. Suala la ukabila wala siyo tatizo kwenye Urais wa Tanzania. Hakuna mtu aliyekataliwa kutokana na kabila lake. Mfano mzuri ni Prof. Mark Mwandosya 2005 alishindwa kura na mtandao wa Jakaya Kikwete, wala hakubaguliwa kutokana na kuwa eti yeye ni Mnyakusa na Kikwete...
Kauli ya Zitto Jan. 5, 2014
"Wakili Tundu Lissu amenituhumu kuwa nimehongwa magari 2 na mheshimiwa Nimrod Mkono. Mimi ninamiliki gari moja mbili, freelnder ninayotumia Dar Es Salaam na Toyota Carina ninayotumia jimboni."
Kauli ya Zitto mwaka 2009
"Nimekuwa Mbunge miaka 4 sasa. Kweli...
Kwenye ukurasa wake wa Facebook, Zitto Kabwe, amedai jana kuwa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amewahi kuhongwa pesa na Nimrod Mkono na Rostam Aziz. Halafu hapo hapo Zitto akadai kuwa Mkono ni mzee wake na kuwa amewahi kufanya kazi ya mafunzo ya uanasheria kwa Mkono.
1. Je, Zitto aliamua...
Ifuatayo ni taarifa rambirambi ya Ikulu kuhusu kifo cha Mandela, iliyotolewa tarehe 23 Desemba 2013 -- Siku 18 baada ya kifo cha Madiba (5 Desemba). Hivi hawa Ikulu wako busy sana au? Hii tanzia ingetakiwa itolewe wakati wa msiba wa Mandela, siyo leo!
Tanzia: Nelson Rolihlahla Mandela
BABA...
I believe Kagasheki was the intended target of commercial poachers in their elaborate plot to have him removed from office. The other three ministers were just collateral damage since they were not directly involved in the government's wider anti-poaching drive -- they just took political...
CCM ingekuwa na Wabunge wanaojiamini, wenye msimamo na wanaothubutu kama Kigwangalla basi nchi hii ingefika mbali. Safi sana Mheshimiwa, endelea kuweka mambo bayana mpaka kieleweke.
Kama walivyosema wenzangu, kamwe usikatishwe tamaa na kejeli wa waropokaji wachache humu JF. Kuna watu wako...
Wapambe wa Lowassa sasa wahofia afya yake
Baada ya zoezi la CCM la kujivua gamba kushindwa, Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya Richmond, Edward Lowassa, sasa amejitamba kuwa yeye ndiye Rais ajaye wa 2015.
Watu waliokaribu na Lowassa wameniambia kuwa sasa hivi Lowassa...
UFISADI WA LOWASSA HUU HAPA:1. Kununua jumba la kifahari London, Uingereza, lenye thamani ya zaidi shilingi bilioni 1 za Tanzania.Metropolitan police wa Uingereza wanachunguza suala hili. Wamewasiliana na anti-money laundering unit ya Tanzania kuchunguza suala hili.2. Ufisadi wa Nyumba ya...
Mamluki wa Lowassa mliopo humu JF, kamwambieni bosi wenu kuwa kazi imekuwa ngumu zaidi. Awaongeze posho, maana hamtalala usiku na mchana mkijaribu kuvuruga majadiliano huru humu JF bila mafanikio.
Mungu ni mwema, Mungu hapendi mafisadi. Mungu iepushe Tanzania na Lowassa, ataitafuna nchi ibaki...
Sasa huo ni ushahidi au porojo? Tunafahamu fika kuwa humu JF kuna mamluki wamewekwa na Lowassa. Kazi yao kubwa ni kutoa matusi, kashfa na kujaribu kupotosha mwenendo wa mijadala kwa lengo la kuleta vurugu. Hamtafanikiwa! Watanzania wote wenye akili timamu hawamtaki wala kumhitaji Lowassa kwani...
Ufisadi wa Lowassa huu hapa:
1. Kununua jumba la kifahari London, Uingereza, lenye thamani ya zaidi shilingi bilioni 1 za Tanzania
Metropolitan police wa Uingereza wanachunguza suala hili. Wamewasiliana na anti-money laundering unit ya Tanzania kuchunguza suala hili.
2. Ufisadi wa Nyumba ya...
Nimefanya research yangu kwa zaidi ya mwaka sasa kwa kuangalia mwenendo wa magazeti haya. Nimesoma kwa undani habari kuu wanazozitoa kwenye kurasa zake za mbele kuhusu Lowassa, nimeangalia picha wanazotoa za Lowassa kwenye michango ya harambee, nimeangalia anaandikwa mara ngapi, mara ngapi...
Ifuatayo ni orodha ya magazeti ya Tanzania ambayo wamiliki wake au wahariri wake au wote wamiliki na wahariri wamekuwa wakitumika kumsafisha Edward Lowassa katika mradi wake wa kutaka kwenda Ikulu 2015 kwa gharama yoyote ile. Magazeti haya yalitumiwa sana kupotosha umma kuhusu matokeo ya vikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.