Gudume una maanisha basi lilifika Tanga mjini kabisa ndo ukala halafu likaanza tena muheza hale segera kuelekea Arusha[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23]
Morning JF,
Baada ya kuona mateso niliyokuwa napewa na mke siku za nyuma akanipa akili.
Baada ya kutekeleza aliyoniambia nyumba imetulia cha ajabu sijatumia gharama yoyote kweli ukubwa dawa, asante baba yangu.
Hi JF!
Looking for my beloved friend by the name Alphoncine. Mara ya mwisho tuliachana chuoni Morogoro yeye alihama chuo kingine katika mazingira ya kushtukiza mimi nikiwa sipo chuoni nilipata dharura.
Alikuwa na rangi ya chocolate halisia alikuwa na dimpoz akicheka naweweseka. Mpole original...
Hi jf.
Nimepata mualiko kutoka Kwa classmate wangu anaoa amenitumia tiketi tangu juzi amesisitiza nifike kwenye harusi yake.
Baada ya harusi nitamsisitiza angalau nikaone hilo kabila linalokaribisha wageni Kwa kuwapa utamu wageni nawaahidi nitapiga selfie siku nikiondoka Namibia.
Goodbye for...
Habari za jioni!
Wake au wachumba tulioachana nao huwa wanatuombea mabalaa yatufike.Je mwenzangu yamekufika au umezidi kufanikiwa? Mimi nimetusua dua yake haikufanikiwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.