Write your reply...Duuuh mkuu pole sana kwa mapito maana hakika umepitia changamoto nyingi sana japo pia inaonekana una elements za bahati kwa kiasi fulani refer yule baba aliyekupeleka shule na incedent ya kabisani kukutana na aliyekupa connection ya kazi.
Ni wachache wanaweza kuwa na luckyness...
Njia ya rahisi zaidi ni kutafuta Acid jitahidi isiwe diluted. Unaidumbukiza hiyo pete. Kama ni dhahabu itabaki kama ilivyo maana sifa ya dhahabu haihathiliwi na acid. Na kama sio dhahabu itasambaratika/kuyeyuka. Imeisha hiyo
Umenichekesha kweli eti hawajui kutofautisha kati ya herufi kubwa na ndogo. Ina maana Sypirian Musiba hajui kutofautisha herufi kubwa na ndogo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu kwani ukiandika vizuri, maelezo yanayoeleweka unapata hasara gani. Ebu rudia kusoma tena we mwenyewe uone kama utaelewa ulichoandika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu unasema unamalizia Phd yako alafu unaomba ushauri ufanye nn kufatilia matokeo yako ya kidato cha nne!?
Nina mashaka na hiyo Phd na kwa jinsi ulivyoandika tu hata mtu wa kidato cha nne anakuzidi.
Nakushauri karudie kidato cha tatu umalizie masomo yako kwa cheti sahihi na sio huo upuuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.