Akina Bashuru Ali hawa wa sasa hivi si wale tuliowajua enzi hizo,, akina Bashiru wa leo ni wale wanaosubiri uteuzi.
Ni watu wa kujikomba kwa serikali hata kama imeenda kushoto.
Wahadhiri wengi siku hizi wamekuwa ni wasakatonge kupindukia,, usomi wao wameuweka pembeni na kugeukia maslahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.