Huo ndo uhalisia.
Ukiandika jina la muhusika inakuwa private.
Assume umeandika jina ka muhusika na muhusika hayupo nafasi imekaimiwa; ina maana barua hiyo haitashughulikiwa mpaka arudi muhusika.
Pia ikitokea uliyemwandika jina kapata uhamisho ghafla hiyo barua itashughulikiwa na nani...
Ndugu wanajamii forum naomba kujuzwa kama application mafunzo (CERTIFICATE OF NURSING AND MIDWIFE) Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii zimeshaanza kwan niliambiwa zinaanza mwez Januari lakini mpaka sasa hakuna tangazo lolote kwenye website yao wala magazeti.
Msaada wenu plz.
We nenda na hiyo CV ila wakikwambia uwape pesa hata 100 kataa.
Lazaid kawaulize maswali utajua km ni matapeli au siyo.
BY DA WAY WAKIKUAMBIA MKAKUTANE VICHOCHORONI KATAA.
ALL THE BEST.
USIJALI kaka
SYSTEM/NETWORK ADMINISTRATORS mpo kundi C
Mtafanya hiyo mitihan tar 16 JUMAPILI saa 8:00 ASUBUHI, College ya Social Sciences & Humanities.
All the best kaka.
Kwa kweli ki2 hiki kinaumiza sana, wakati wengine 2kiwa busy na utafutaji wa kaz, wengine wanatengeza mazingira ya wa2 kukosa kaz.
Infact kijana huyo anaweza kuwatia nuksi wenzake waliosoma pamoja chuo, maana muda mwingine waajiri hutumia experience, hivyo anaweza kuwa na NEGATV ATTITUDE na...
Dogo inaonekana hajafahamu maisha yanaendaje. Sh 7500 kwa cku amekuta ni mamilion ambayo haoni pa kuweka. By da way wapo wanaopewa hiyo na hata cku chuo kinapofunga WANAKOPA NAULI. Ucwe limbukeni wa pesa, ITUNZE ILI NAYO IKU2NZE.
Hiyo taarifa nani kakupa. Kama angekupa na source ingekuwa rahis kubain ukweli huo. Binafsi niliapply na siamin km wangefanya hivyo bila kupublish hata kwenye website yao.
Jitahidi kutafuta kwenye sehemu ambazo zitakuwa karibu nawe.
Kwani unaweza ukapata mbali pasipo na ndugu ukashindwa kutokana na gharama za maisha. All da best kaka.
Kozi nzuri sana. Kapige kaka ucjali na uckatishwe tamaa. Kwa sisi 2nao tafuta kaz sasa hv 2nakutana na post nyingi za koz hiyo.
By the way SUA ni chuo kizuri na chenye jina TZ na msuli wake ni wa uhakika, hawababaish. Kapige ktabu dogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.