Kuna kampuni za kichina nyingi za umeme zimepeleka maombi TANESCO ili tupewe mikopo ya pesa wao wajenge kwa mtindo wa EPC kama ilivyokuwa bandari
Lakini wamekwamba kwa sababu masharti ya hiyo mikopo ya benki ya EXIM ndio iliyosababisha bandari kama vile ya kule rilanka kuchukuliwa na Wachina...
JK alijua wazi kuwa membe ni un electable, kakaa serikalini for 10 years bas yeye option yake ilikuwa membe tuu?
alishindwa vipi kuwa na PLAN B, C,D, E, and F?
Mkapa alishajua weakness yake ya Anyone but Edward, the rest is history
Environmental imperialism
The same applies na wale wanaopinga project ya Barabara Serengeti. As a matter of fact waliweza kuwarubini (?) au kuwapa pesa owners wa Jamiiforums kiasi threads za kupinga project ya Serengeti zikaweka sticky na kupewa vipaombele humu jamii forums.
Mind you, this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.