Search results

  1. J

    Polisi vs chadema..?!!

    Hivi nyie jeshi la polisi mmetumwa nn? Wabunge wa cdm wamewakosea nn?hv leo dr. Slaa angekuwa rais mngethubutu kuwatesa na kuwadharirisha wabunge wetu wa kipekee kiasi hiki? Jana mmemkamata mh Sugu,jan 5 mwaka huu mliwasweka ndani wah,Freeman Mbowe,Philemon Ndesamburo,mbunge wa Rombo,Joseph...
  2. J

    Maji ni kitendawili,mimi nitaoga lini?

    Siku ya 3 sijatia tonye la maji mwilini, zaidi ya jasho linalonitiririka usiku kucha,kwa sababu viyoyozi ni kitendawili kwani hakuna umeme mitaa ya kwetu. Nikifikiria nguo zangu nlizovaa wiki nzima cjafua, nikiwaza kwenda kazini na nguo chafu,tena hazijanyoshwa akili anipi jibu la haraka.WAT...
  3. J

    Elections 2010 Natangaza Nia

    Naomba ridhaa yenu ndugu watanzania,niwawakilishe mjengoni kwa miaka mitano kuanzia 2020-'25 kupitia jimbo la Nkenge,Kagera. Thn nitakua sawia kuwataka ridhaa yenu kuongoza nchi mwaka 2025-.. Roho inauma kuona 2nakwisha, msihofu mtetezi anakuja.PAMOJA TUTAWEZA!
Back
Top Bottom