huo ni mwanzo mzuri wa mabadiliko. tufanye kweli ktk uchaguzi wa serikal za mitaa 2014 ili kuweka njia nyeupe kwa uchaguzi mkuu 2015. hongereni sana wanakabiga.
Hawa wanamagamba wanaandaa mpango mbovu wa maendeleo ili wapate cha kufisadi kama kawaida yao. hili liko wazi. chadema wabaneni mpaka kieleweke. ccm walishapeleka akili zao li kizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.