Wana JF, salaam sana. Karibuni kwenye mkutano wa Afya na Mali, utakaofanyika tarehe 7/7/2012 Holiday Inn, saa 7 kamili mchana na kuendelea.
Upande wa afya, magonjwa sugu kama kansa, kisukari, pressure, ukimwi, ugumba, n.k. yanapatiwa ufumbuzi wa uhakika, si wa kubahatisha.
Upande wa Mali...
Hamjambo wana JF?
Naomba tukumbuke ustaarabu wa daladala, miaka ya zamani kulikuwa na UDA-(Shirika la Usafiri Dar). Ukienda kituoni, unapanga mstari. Ustaarabu ulikuwa mkubwa!!!! Mtu aliyetangulia kufik kufika kituoni alipanda kwanza. Sasaa hali ni tofauti, na kikumbo unapigwa. Je, tufanyeje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.