KADA WA UVCCM IRINGA ALIVYOFUMANIWA AKISALITI NDOA YAKE
Ni vigumu kuamini ila inapotokea huwa ni vigumu kuvumilia.
"Je ndo chama au ni kichaka cha umalaya" na kauli ya mume wa kada huyu pichani baada ya kufumania ubavu wake ukisaliti ahadi ya ndoa.
Ilikuwa ni majira ya saa 12 jioni eneo...
Jana jioni mkuu wa mkoa wa Arusha alifanya kipindi maalumu kaitka Radio Triple A arusha na kusisitiza kuwa wananchi tuwe na amani na kuwa leo hakutakua na mgomo wa daladala. Mkuu huyu wa mkoa wa Arusha hakutupa angalizo lolote kuhusiana na mgomo huu na akatuahidi kuwepo kwa usafiri na amani kwa...
Hapo umenena mkuu, naamini intention ilikua si kumvua DC hijab, wana CDM walikua wanatimiza wajibu wao kama raia yeyote anayepaswa kumdhibiti mualifu pindi polisi wanapokua mbali na eneo la tukio.
CHADEMA wangekuwa ni punguani kama hayo mabaraza na wao wangetoa tamko kuwataka BAKWATA na BASUTA kuwaomba radhi CHADEMA kwa kosa la kubaka demokrasia lililofanywa na na uyu DC simply because ni muislam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.