Mkuu wa Mkoa Arusha tutake radhi wakazi wa Arusha

bi mkora

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
259
113
Jana jioni mkuu wa mkoa wa Arusha alifanya kipindi maalumu kaitka Radio Triple A arusha na kusisitiza kuwa wananchi tuwe na amani na kuwa leo hakutakua na mgomo wa daladala. Mkuu huyu wa mkoa wa Arusha hakutupa angalizo lolote kuhusiana na mgomo huu na akatuahidi kuwepo kwa usafiri na amani kwa ujumla chini ya usimamizi wa OCD Zuberi.
Leo hali imekua tofauti na ahadi za Mkuu wa Mkoa huu wa Arusha alizozitoa jana, Wakazi wa Arusha leo hii tumetaabika kwa kukosa usafiri, wafanyakazi tumechelewa kazini, wanafunzi wamegahiri kwenda shule kwani muda mrefu wameutumia kutembea kwa miguu. Daladala nyingi zimepigwa mawe maeneo ya kwa moromboo, esso,mianzini, sanawari na sehemu kadha wa kadha.
Amani aliyeihubiri Mkuu wa Mkoa wa Arusha haijafanikiwa kama alivyotuahidi.Uharibifu wa mali hasa daladala na kuchelewa kwa shuhuli za kila siku za Arusha inadhihirisha hii nguvu ya umma inakaribia kuwashinda na kuishia kuwakamata wapiga debe na madereva.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha naomba unitake radhi kwa kunipa ahadi ya uongo jana na kunifanya nipate adhima katika siku yangu.
 
Arusha wanaongoza kwa ujinga..

Sasa mtu mzima unawezaje kupiga daladala ya raia mwenzake kutoa huduma..

Huo haukuwa mgomo ila shinikizo la kihuni toka kwa watu wajinga..period
 
Japokuwa Polisi wamejaribu kulazimisha madereva Wa daladala lakini bado daladala chache zilifanya root ila Polisi walitishia amani na makofia yao ila watu walitembea tu kwa amani ila mkuu Wa mkoa alitudanganya.
 
Arusha wanaongoza kwa ujinga..

Sasa mtu mzima unawezaje kupiga daladala ya raia mwenzake kutoa huduma..

Huo haukuwa mgomo ila shinikizo la kihuni toka kwa watu wajinga..period

Unajua solidarity kwa manufaa ya umma huwa inatafutwa kwa namna yoyote, katika migomo ya Vyuo vikuu wanaojitenga na mgomo hulazimishwa kwa viboko na mwisho wa siku hushiriki mgomo na serikali husikia kilio kimoja na sio cha kusuasua na kwa manufaa ya umma.
Kuhusu swala la Arusha kuongoza kwa ujinga inadhihirisha political immaturity inakusumbua ila kuhusu migomo/haki/solidarity/nguvu ya umma na mapinduzi kwa ujumla nakushauri uwe na tabia ya kujisomea hasa vitabu vya historia na intelijesia ndo utajua kuwa yanayojiri leo Arusha yameshatokea tangu karne ya 14.
 
Jana jioni mkuu wa mkoa wa Arusha alifanya kipindi maalumu kaitka Radio Triple A arusha na kusisitiza kuwa wananchi tuwe na amani na kuwa leo hakutakua na mgomo wa daladala. Mkuu huyu wa mkoa wa Arusha hakutupa angalizo lolote kuhusiana na mgomo huu na akatuahidi kuwepo kwa usafiri na amani kwa ujumla chini ya usimamizi wa OCD Zuberi.
Leo hali imekua tofauti na ahadi za Mkuu wa Mkoa huu wa Arusha alizozitoa jana, Wakazi wa Arusha leo hii tumetaabika kwa kukosa usafiri, wafanyakazi tumechelewa kazini, wanafunzi wamegahiri kwenda shule kwani muda mrefu wameutumia kutembea kwa miguu. Daladala nyingi zimepigwa mawe maeneo ya kwa moromboo, esso,mianzini, sanawari na sehemu kadha wa kadha.
Amani aliyeihubiri Mkuu wa Mkoa wa Arusha haijafanikiwa kama alivyotuahidi.Uharibifu wa mali hasa daladala na kuchelewa kwa shuhuli za kila siku za Arusha inadhihirisha hii nguvu ya umma inakaribia kuwashinda na kuishia kuwakamata wapiga debe na madereva.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha naomba unitake radhi kwa kunipa ahadi ya uongo jana na kunifanya nipate adhima katika siku yangu.

Ivi huyu mkuu wa mkoa wa Arusha anadhani siasa za maji taka zitanusuru haki kutendeka Arusha??? Jana alikua akiongea zaidi kuhusu uvunjifu wa amani ila hakuthubutu kuzungumzia uvunjifu wa haki.
 
Unajua solidarity kwa manufaa ya umma huwa inatafutwa kwa namna yoyote, katika migomo ya Vyuo vikuu wanaojitenga na mgomo hulazimishwa kwa viboko na mwisho wa siku hushiriki mgomo na serikali husikia kilio kimoja na sio cha kusuasua na kwa manufaa ya umma.
Kuhusu swala la Arusha kuongoza kwa ujinga inadhihirisha political immaturity inakusumbua ila kuhusu migomo/haki/solidarity/nguvu ya umma na mapinduzi kwa ujumla nakushauri uwe na tabia ya kujisomea hasa vitabu vya historia na intelijesia ndo utajua kuwa yanayojiri leo Arusha yameshatokea tangu karne ya 14.

Huwezi kunilazimisha mwananchi ambaye siafiki na msimamo wako (cdm) na nina biashara yangu ya daladala kuingia kwenye soladarity huo ni ujinga mtupu..

Political immaturity inayofanywa na wapenzi wa cdm (wengi wao wamehongwa) ni kubwa zaidi kuliko yangu..

Arusha hatuwezi kulazimishwa kuwa lema kukubali kukaa kwake mahubusu ndio iwe usumbufu kwa wengine

Afuate nyanyo za wanaharakati kama kina kandhi ambao watu wengi waliwaunga mkono bila kulazimisha kama hii ya Arusha

Unashiriki kwasababu ya fear huo unafiki mtupu hapo ukombozi
 
Unajua solidarity kwa manufaa ya umma huwa inatafutwa kwa namna yoyote, katika migomo ya Vyuo vikuu wanaojitenga na mgomo hulazimishwa kwa viboko na mwisho wa siku hushiriki mgomo na serikali husikia kilio kimoja na sio cha kusuasua na kwa manufaa ya umma.
Kuhusu swala la Arusha kuongoza kwa ujinga inadhihirisha political immaturity inakusumbua ila kuhusu migomo/haki/solidarity/nguvu ya umma na mapinduzi kwa ujumla nakushauri uwe na tabia ya kujisomea hasa vitabu vya historia na intelijesia ndo utajua kuwa yanayojiri leo Arusha yameshatokea tangu karne ya 14.

Pole sana kwa kutumia muda wako kumuelimisha huyu zuzu
 
Dogo anajiona yuko juu kwa vile ni mteule wa Rais!...lakini anasahau kuwa mwisho wa siku anaishi na wale anaowazuga, na huyo mkubwa wake akiwa kunako safari zisizoisha.
Kwa nchi za wengine kosa hilo lilitosha kumfanya aachie ngazi!...all in all, tumeingiza kwenye rekodi kosa hili!

_MG_0731.JPG
 
Dogo anajiona yuko juu kwa vile ni mteule wa Rais!...lakini anasahau kuwa mwisho wa siku anaishi na wale anaowazuga, na huyo mkubwa wake akiwa kunako safari zisizoisha.
Kwa nchi za wengine kosa hilo lilitosha kumfanya aachie ngazi!...all in all, tumeingiza kwenye rekodi kosa hili!

_MG_0731.JPG
Naona hajagundua hilo!
 
Dogo anajiona yuko juu kwa vile ni mteule wa Rais!...lakini anasahau kuwa mwisho wa siku anaishi na wale anaowazuga, na huyo mkubwa wake akiwa kunako safari zisizoisha.
Kwa nchi za wengine kosa hilo lilitosha kumfanya aachie ngazi!...all in all, tumeingiza kwenye rekodi kosa hili!

_MG_0731.JPG

Kumbe jamaa mwenyewe ndio huyu??
 
Ni UJINGA kuijifanya hamwezi kutambua hali ya kisiasa nchini TZinayochochewa na ugumu wa maisha,ukandamizaji wa demokrasia,wizi wa mali za umma,na kila aina ya ufisadi,kuwalazimisha wagome ni swa tena ni nzuri sana,na bado hilo litakuja kivingine,kama wao wanajifanya hawaoni wala haliwahusu ni vema wakawapiga kweli na kuzuia wasitembeze daladala.maana MFUMO ULIOOZA WA CCM ni lazima tuuondoe,sasa ukijifanya haykuhusu utalazimishwa.
 
Huwezi kunilazimisha mwananchi ambaye siafiki na msimamo wako (cdm) na nina biashara yangu ya daladala kuingia kwenye soladarity huo ni ujinga mtupu..

Political immaturity inayofanywa na wapenzi wa cdm (wengi wao wamehongwa) ni kubwa zaidi kuliko yangu..

Arusha hatuwezi kulazimishwa kuwa lema kukubali kukaa kwake mahubusu ndio iwe usumbufu kwa wengine

Afuate nyanyo za wanaharakati kama kina kandhi ambao watu wengi waliwaunga mkono bila kulazimisha kama hii ya Arusha

Unashiriki kwasababu ya fear huo unafiki mtupu hapo ukombozi

People perish due toack of vission. To see just beyond your nose is dangerous. Mandela had a visssion, Luther had one, NTC had one. Saa ya upupu imekwisha. CCM waache kutumia vyombo vya taifa kwa manufaa binafsi. mtatuletea shida kubwa. Wasikilizeni akina Butiku.
 
The most pathetic thing with Tanzanians is that everyone is wont to squawk and grumble endlessly and nobody seems to be ready to act pragmatically.
 
Huwezi kunilazimisha mwananchi ambaye siafiki na msimamo wako (cdm) na nina biashara yangu ya daladala kuingia kwenye soladarity huo ni ujinga mtupu..

Political immaturity inayofanywa na wapenzi wa cdm (wengi wao wamehongwa) ni kubwa zaidi kuliko yangu..

Arusha hatuwezi kulazimishwa kuwa lema kukubali kukaa kwake mahubusu ndio iwe usumbufu kwa wengine

Afuate nyanyo za wanaharakati kama kina kandhi ambao watu wengi waliwaunga mkono bila kulazimisha kama hii ya Arusha

Unashiriki kwasababu ya fear huo unafiki mtupu hapo ukombozi
Sasa si uende mahakamani? Hata Libya walikuwepo watu wa namna yako. lakini baada ya ukombozi wameficha unafiki wao na sasa wanashangilia matunda ya ukombozi!
 
Sasa si uende mahakamani? Hata Libya walikuwepo watu wa namna yako. lakini baada ya ukombozi wameficha unafiki wao na sasa wanashangilia matunda ya ukombozi!

Libya kuna ukombozi gani wewe...

Acha ushamba wamekombolewa au wamekombwa..tafakari..tumia akili siyo yale...
 
Back
Top Bottom