Search results

  1. T

    Biashara ya kupangisha nyumba na fremu ni utajiri mkubwa watu wengi hawapendi kuwafumbua wenzao

    Nakubaliana kabisa na mada hii, biashara ya kupangisha nyumba na fremu inaweza kuwa chanzo kizuri cha kipato na utajiri kwa wale wanaowekeza kwa umakini. Kwa wale wanaotafuta fursa za kununua mali kwa ajili ya uwekezaji huu, kuna tovuti kadhaa ambazo zinaweza kuwa msaada mkubwa. Hizi hapa ni...
  2. T

    Tukutane hapa tulioishi familia za kitajiri ila sasa maisha yametuchapa

    Dah, pole! Inasikitisha, lakini la kujifunza hapo kama wewe ni mzazi na umefanikiwa kuwa na maisha mazuri, basi fanya yafuatayo: 1. Usiwaoneshe watoto wako kama una hela za mchezo mchezo 2. Wafundishe watoto wako kujitegemea (kufua, kupika na kufanya kazi za nyumbani) 3. Hakikisha una vyanzo...
  3. T

    Msaada wadau application gani ambazo ni muhimu kuwa nazo katika Android

    Jarbu kupitia na uzi huu Apps nzuri za Tanzania kwa ajili ya Mtanzania, Zilizotengenezwa na Watanzania
  4. T

    Apps nzuri za Tanzania kwa ajili ya Mtanzania, Zilizotengenezwa na Watanzania

    Kuna mtu kapendekeza Online TV App, cheki kwenye list, namba 8
  5. T

    Apps nzuri za Tanzania kwa ajili ya Mtanzania, Zilizotengenezwa na Watanzania

    Sawa mkuu, lakini mbona haujaiweka play store?
  6. T

    Apps nzuri za Tanzania kwa ajili ya Mtanzania, Zilizotengenezwa na Watanzania

    Haya, apps nne mpya zilizopendekezwa, zimeongezwa tayari! Please share this list with others ili wajue vitu gani vizuri vipo Tanzania na pia waweze kuijaza hii list. Nimeipenda sana hiyo Nipime App
  7. T

    Mchele original unadunda kama kitenesi pia

    Inavyosemekana kilo moja ya plastic ni gharama sana kuliko kilo moja ya mchele, kwahyo mtu hawezi kutengeneza mchele wa plastic halafu akauze kwa bei ya mchele wa kawaida au bei ya chini zaidi. Kwa kigezo hicho wanasema unaweza usiwepo, kama upo basi ni wa material nyingne lakini sio plastic...
  8. T

    Mchele original unadunda kama kitenesi pia

    Duh! Mbona mnazidi kunitisha!! [emoji3] [emoji3] Sitaki kuamini kama nimelishwa plastic mpaka na mimi niupate mpunga na niujaribu wali wake!
  9. T

    Mchele original unadunda kama kitenesi pia

    Ulifunyinga wenyewe pekeake bila mboga? me nifanya na mboga haudundi. Lakini nikifinyanga pekeake kwa muda mrefu bila mboga unadunda
  10. T

    Mchele original unadunda kama kitenesi pia

    Hapo sawa, me nkipata muda ntaenda kununua wa mashineni kabsa nkajaribu!
  11. T

    Mchele original unadunda kama kitenesi pia

    Kama wewe umetest umeona haudundi ni vizuri, sema "wangu haujadunda"
  12. T

    Mchele original unadunda kama kitenesi pia

    Mkuu uwe unaelewa kinachoongelewa! Soma na uelewe. Soma mpaka mwisho!
  13. T

    Apps nzuri za Tanzania kwa ajili ya Mtanzania, Zilizotengenezwa na Watanzania

    Sina uhakika boss, ntajaribu kufanya research au wanaozifahamu wataziweka
  14. T

    Mchele original unadunda kama kitenesi pia

    Habari zenu wakuu, kumekuwa na uvumi wa mchele feki au mchele wa plastiki. Na moja ya njia iliyosambaa ya kugundua mchele huo ni kuudundisha. Sasa leo na mimi nkasema wacha nijaribu kudundisha wali wangu... Heh! Si ukadunda, halafu mchele wenyewe nlkuwa nimenunua super market maarufu hapa mjini...
  15. T

    Apps nzuri za Tanzania kwa ajili ya Mtanzania, Zilizotengenezwa na Watanzania

    Kwa sababu kuna expenses nyingi za running na maintainance
  16. T

    Apps nzuri za Tanzania kwa ajili ya Mtanzania, Zilizotengenezwa na Watanzania

    Na kama umesoma kilichoandikwa, utaona nimesema watu wapendekeze nyingine ili niziongezee
Back
Top Bottom