Akili iliyotumika kuwaingiza katika mitego ni kubwa sana na kwa mtu mwenye akili za kawaida asingeweza kujua nini kipo mbele yao.
Lengo la mission hiyo ilikuwa ni kuwapoteza kabisa kwenye ramani ya kisiasa.
Waliwekewa chambo cha kupewa ubunge na wakakimeza na ndoano yake. Waliowapa nafasi hizo...
Ngoja nifanye utaratibu niwashtaki kwa Magufuli aanze kuwadai kodi za hayo matangazo tuone watalipa Billion ngapi. Naamini wataacha huo upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumaini hata kwa wateja wengine wa VodaCom mmeshawahi kupigiwa simu na namba hii +255 901761234 ikiwa na matangazo mbalimbali.
VodaCom naomba mtujuze kama mnalipa kodi ya tangazo hili na kwa utaratibu gani?
Maana linakera sana
Sent using Jamii Forums mobile app
HAYA NDIO #MatokeoChanyA+
Serikali ilikuwa ikipoteza zaidi ya bilioni 194 kupitia watumishi hewa baada ya awamu ya tano kuingia watumishi hewa takribani 16,000 wameondolewa.... Haya ni #matokeochanyA+
Ukwepaji kodi na rushwa bandarini pamoja na TRA viliifanya serikali kukusanya kodi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.