nafkr kuna mijitu inatumia masaburi kufkr, mtaje huyo ndugu aliyewah kuugua ugonjwa km wa dr. Watu wanatoa ukwel hum halafu unatoa maneno kubisha na kuuzi. Pu**f!!.
wewe ni mkinga, hata kinyaki unachoigiza kusema ni kikinga cha kimagoma. acha zako hizo, ninyi ndio mnaotumiwa na mafisadi. Hiv mlitaka mwakyembe ayamalize matatizo ya kyela kwa wakati mmoja? Toka mwakyembe aingie madarakani amefanya mambo mengi sana kwa wilaya ya Kyela zaidi ya wale...
Wana Kyela mpaka sasa wanamlaumu sana Mbunge wao, maana toka wakti wa uchaguzi waliishamwambia ahamie CDm lakini aling'ang'ania CCm. Nafikiri sasa baada ya kumnanga amejifunza kitu, hatimaye atasikiliza ushauri wa wazee. Kyela hawataki kbs kusikia CCm maana kwao hawaoni tafauti na muuaji.
Ndugu yangu huyo mama hajaweka wazi kama kkuna makubaliano yoyote katika ndoa yao, na ni mkristo toka kuzaliwa. Ila kuhusu kiwanja mara ya kwanza kilikuwa na jina la mumewe marehemu(offer letter), alipopewa na ndugu wa marehemu akabadilisha jina na kuandaa hati(title deed) ya miaka 33 kwa jina...
Wanasheria tunaomba ufumbuzi wa utata wa kisa hiki.
Mama mmoja (mfanyakazi ya kuajiriwai) alifiwa na mumewe (hakumwachia watoto) ila aliachiwa kiwanja ambacho kilikuwa kimejengwa uzio wa ukuta tu bila jengo lolote ndani yake. Baada ya miaka miwili mama huyo aliolewa na bwana mwingine mfanya...
Mi nafikifiri TBC1 wamefanya kusudi kumdhalilisha mzee wa wa2, kwa jinsi ninavyomfahama tyson sio saiz ya Mbowe kwamba anaweza kupambana nae katika kujenga hoja murua. Hata angekua Jeykey hapo (mbowe) ni maji marefu sana yaani!
Kwa hiyo unataka kutuambia hakuna suluhisho la tatizo la umeme tanzania? kuna watu wana bongo za kuweza kutafuta suluhisho la matatizo tuliyonayo watz likiwemo la umeme. Mshauri achie ngazi uone kama atakayekuja atachemsha kama huyo unayemtetea.
Mkurugenzi ni tofauti na mkurugenzi mtendaji, msije mkachanga mambo hapo. yeye anawakilisha wanahisa ili kuhakikisha maslahi yao yasimamiwa kikamilifu na waliokabodhiwa jukumu la kuiendesha benki ( akina Dr. Kimei na wenzake-crdb mgt).
Wewe sangala namna gani bana! kwani hizo hela ni zenu? hela zenu wamekula mafisadi wa lada, kwa huruma mwingereza ameamua kuwarudishia japo kidogo mnaanza kuinua mabega. yaani mnaona wivu hata hicho kidogo ambacho mwingereza anataka watz wafaidi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.