Litakuwa ni jambo la kusikitisha sana kama kweli hao watu hawatatajwa hadharani.jambo ambalo litafanya vita dhidi ya wazungu waunga kuwa haina maana kabisa.nibora hiyo kamati ifutwe.
namshukuru aliyeanzisha hii topic.namkumbuka mwakasege alisoma iyunga sec --mbeya 1972--1975.baada ya hapo sikujua alielekea wapi mpaka nilipomuona kwenye tv akihubili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.