Search results

  1. Kuziwa

    Kumbukumbu: Night shift Bulyanhulu, siku niliyotamani kuuaga umasikini

    Nimeiona hiyo picha ya dhahabu, mwili umetoka vile vipele vipele na vinyweleo vimesimama!
  2. Kuziwa

    Vyakula mbadala kwa ajili ya kulisha Population ya Dunia inayo ongezeka kwa kasi

    Bacteria kama lactobacteria wanatumika kugandisha maziwa, wengine wanaishi kwenye miili yetu ''symbiotic bacteria" Wadudu ni watamu sana ila lazima wawe wametoka eneo safi, pia wawe wamepikwa vizuri
  3. Kuziwa

    Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

    Ndio madhara ya kuangalia movies sana! Unaulza kichwa kwa mambo ambayo hayapo.
  4. Kuziwa

    Pata ushauri wa bure wa kesi yoyote, Ardhi, Jinai na Madai (Thanks Giving Days)

    Kuna jamaa tulimpa fedha mimi na wife ili atutengenezee kazi flani, nina mpango wa kumfungulia kesi ya utapeli kwa sababu ni mwaka sasa, back up ya malipo ilikua ni kwa simu na hatuna ushahidi, je tutashinda? vipi na gharama za kufuatilia tunaweza kumuwekea azilipe?
  5. Kuziwa

    Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

    Acha kua negative, maisha hayaendi hivyo.
  6. Kuziwa

    Kampuni zinazohusika na kutengeneza pesa

    Ninavyoelewa sio hivyo! Huwezi kuipandisha dhamani fedha kwa kuificha, kinachopandisha dhamani fedha ni jinsi inavyohitajika(demand for money), ili fedha yetu iwe na dhamani, kinachotakiwa ni kuwa na bidhaa nyingi sana zinazouzwa kwa Shilingi, mfano, watalii wakija wengi sana, na tukalazimisha...
  7. Kuziwa

    Nimemtia mimba mzazi mwenzangu akiwa kwenye ndoa yake ya miaka 7. Nifanye nini?

    Kwa sababu mzazi mwenzio amemshirikisha mume wake, na mume akaikataa, basi na wewe mshirikishe mkeo mpya, na yeye akiikataa hiyo mimba basi ngoma droo.
  8. Kuziwa

    Unataka kununua nyumba au kiwanja? Hakikisha haya kisheria usitapeliwe

    Uzi murua, shukrani sana, nina maswali mawili; 1.Kuna ulazima wa viongozi wa serikali ya mtaa kweye hili, nimeona maeneo mengi wenyeviti wa vitongoji na watendaji wakijumuishwa kwenye hii mikataba 2.wakili akihisishwa, gharama za kuandaa mkataba inakuwaje? kuna mazoea kwamba ni 10% ya...
  9. Kuziwa

    Utafiti wangu: Wanaume wenye wake wawili, watoto wao wa kike huwaiga kimahusiano

    Utuletee mrejesho mkuu! Ukishindwa fuatilia utagundua kitu.
  10. Kuziwa

    Utafiti wangu: Wanaume wenye wake wawili, watoto wao wa kike huwaiga kimahusiano

    Wakurekebisha hii ni baba! Hakikisha mwanao hajui tabia zako chafu.
  11. Kuziwa

    Utafiti wangu: Wanaume wenye wake wawili, watoto wao wa kike huwaiga kimahusiano

    Jaribu kutest, kwenye kila wanaume kumi wenye zadi ya mke mmoja, wanaume watano kama wana watoto wa kike waliopo kwenye mahusiano basi wana hii tabia.
  12. Kuziwa

    Utafiti wangu: Wanaume wenye wake wawili, watoto wao wa kike huwaiga kimahusiano

    Ni kweli kua mazingira yana mchango wake katika makuzi ya watoto wetu, mazingira haya ya makuzi pia yanajumlisha nini watoto wanaona kutoka kwa wazazi, kumbuka hii ni sampo yangu, saikolojia yako ya makuzi inasemaje? tueleweshane
  13. Kuziwa

    Utafiti wangu: Wanaume wenye wake wawili, watoto wao wa kike huwaiga kimahusiano

    Habari wadau, Huu ni utafiti wangu binafsi. Wanaume wengi ambao wana wake wawili, mabinti zao nao hawaogopi kuwa katika mahusiano ya aina hiyo. Hapa namaanisha kuwa, binti anaweza kuingia kwenye mahusiano na mume wa mtu akiwa anajua kabisa kuwa wewe ni mume wa mtu, na akakubaliana na hali...
  14. Kuziwa

    Naomba kujuzwa machache kuhusu Halmashauri ya Ushetu

    Huko umeme ndio kwanza umeingia, kilimo ni tumbaku na karanga, barabara ni vumbi mwanzo mwisho, kulikua na misitu ila wananchi wamemaliza miti kwa kukata kuni kwa ajili ya tumbaku
Back
Top Bottom