Duh mpaka JIDE ameamua kufunguka kuhusu Ruge na Joe Kusaga,basi kuna tatizo kubwa kwa hawa jamaa.Alianza Sugu,afande sele,soggy Doggy anter,mkoloni,dani msimamo na VINEGA kwa ujumla.Na sasa Komando JIDE afunguka..dah ni maneno makali sana haya.hawa jamaa inabidi wajitafakari na kujirudi kwa...
Malipo ni hapa hapa duniani.Kwa mujibu wa redio One,inasemekana alikuwa anamrudisha dada yake baada ya kutoka kwenye kikao cha harusi.cha kushangaza ni eti Kupigwa na Risasi na watu mara moja eti wanadaiwa ni MAJAMBAZI......
UDOM hawajajipanga kabisa.Hawako serious.Kwa wahitimu wa kwanza 2010,Transcript na Vyeti wengi wao vimekosewa ile mbaya.Kukosewa majina,miaka ya kuzaliwa,kozi walizosoma,GPA na wengine hadi picha.Hii ni aibu kwa Chuo Kikuu jamani.Sijui tatizo ni nini hasa!!!!.
Ufoo Ssaroo...She is very good in reportind especially Political news.Anajitahidi lakini kama mdada...Big Up to her.Ila atapotea pale tu atakapoahamishwa na kuletwa mkjini...
Sam na huyo Dullah hawaingii hata kidogo kwa yale majembe ya Clouds fm (B 12 na Adam Mchomvu).Kiukweli,Presenters wengi na Redio zao wanaiga kila kitu toka Clouds fm.Hata hiyo Redio yao ya Capital fm ime-copy na ku-paste vipindi toka Clouds fm..
Yap pendaeli alikuwa vizuri.Kipindi cha TIDO alikuwa na vijana wazuri sana.Ila baada ya kumtimua,nadhani na wao watakimbia.Maana TBCCM sasa ni maslahi ya chama na serekali kwanza...mengine baadae...
Ushindi huu ni ishara ya kuchokwa kwa CCM na sera zisizotekelezeka.Wanataka kutuletea utawala wa kifalme..Tutakutana 2015 ili tuichukue nchi kabisa..Peoples power
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.