Ni kweli kwani tangu waheshimiwa ambao kwa sasa ni wa tuhumiwa wa TZ, wame kuwa waki sababisha hali ya maisha kuwa ngumu mno na wao kulipwa manoti ya ajabu kwa kazi Hewa wanazo fanya mjengoni na laani kiongozi moja tu! Chief exacative kwa kuwa mchovu wa ku tatua utata serikalini kwa matendo
Nikweli ila lawama nyingi tuwatupie madairecta ambao wao wana produce vidio isi kidhi viwango na ubora wa filamu. Naishutu idara inayo husika na mambo haya kuto lichukulia jambo kamahili uzito.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.