Hamna Amani katika mapenzi. Bora pochi tu!!!!!!!! Siku hizi wanaume wanawapenda wanawake wenye pesa na wanawake wanawapenda wanaume wenye pesa. Kidogo afadhali sisi kizazi cha S.L.P. kizazi cha dot com. nawaonea huruma. Mimi namwomba Mungu niendelee kupendana na baba D wangu mpaka kifo kitutenganishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.