Hivi unawezaje kumsamehe mtu ambaye hajaomba msamaha na anasisitiza hawezi omba kwa sababu hajafanya Kosa. Ni kweli issue ya Ben Saanane na Kitila Mkumbo zinafanana. Lakini Ben alisamehewa na kuwekwa chini ya uangalizi baada ya yeye mew yews kukiri Kosa na kuomba asemehewe. Kitila Mkumbo yeye...
Tatizo huo mswada unawasilishwa na Serikali ya Muungano kwenye Kamati ya Katiba ya Bunge la Muungano badala ya Serikali ya Tanganyika iwasilishe kwenye Kamati ya Katiba ya Bunge la Tanganyika. Mpaka hapo wameshaboronga. Ngoja Tundu Lissu akawanige bungeni.
TUMBIRI (PhD, University of HULL -...
Ndugu Mwigulu Nchemba inaonekana unayo hoja nzuri tatizo unashindwa kuiandika katika mtiririko unaoeleweka. Mfafute John Mnyika akufundishe jinsi ya kuandika hoja binafsi. Hata mwishoni mwa hoja sijaona ukiandika kwa kufuata muongozo wa kuwasilisha hoja yaani 'Mh Spika naomba kuwasilisha' sasa...
Nyie ndio wale mnaolalamikia matokeo ya uchaguzi wakati huo huo hamtaki kushiriki kwenye siasa. Ni kwa nini hushiriki kwenye harakati za kisiasa (mathalani kugombea, kupiga kura na kulinda kura) ili tuondokane na viongozi unaodhani wewe si wazuri? Nakufananisha na watu wanaolalamikia maisha...
Mkuu Kimbunga,
Lowassa ndiye huwa anatumia na pesa za marafiki zake. Mnyika anatumia pesa za mfuko wa jimbo tu. Sasa ujiulize CHADEMA wakiongoza halmashauri ya Kinondoni si watoto wote watasoma bure shule za serikali hadi form six na rafiki yangu Rejao na chama watasave hatimae wataezeka nyumba...
'Hakika Mnyika atosha' - Ndiyo kauli mbiu ya Mwaka 2015 jimbo la Ubungo.
Nakala: John Mnyika, Nape Nnauye, Crashwise, Matola, zomba, Mingoi, HAMY-D na buku saba wote, etc.
Mkuu Fisadi Mtoto,
Hoja ya Msemakweli haikuwa kwamba 'thesis' yake haijasainiwa na external supervisor. Kasome vizuri kitabu cha Msemakweli ndo tuendelee kujadiliana.
Mkuu hii ishu ni ya ukweli. Nimempigia simu Mke wangu kaniambia hadi sasa mshahara haujaingia tofauti na awali ambapo ilikuwa inapitia NMB kwa tarehe kama za sasa watumishi wote hata wale waliopo benki za 'mabondeni' na wao wanakuwa wameshapata. Ila matumizi ya CRDB naskia ni kwa taasisi za...
Astakafulai Nape Nnauye! Waheshimu wazee ndugu yangu. Kwani sisi vijana hatutakufa? Au na sisi hatutakuwa wazee! Na kama ni kweli ni maoni ya Wazee kwani hawana haki ya kutoa maoni? Au ni mwendelezo wa siasa za kibaguzi kwa misingi ya umri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.