Kiukweli mambo yamekuwa magumu, huwa najiuliza hivi watz tumerogwa au ni laana? Huwezi amini tumekaa kimya, tunaongelea kwa keyboard na smartphone. Mida hii tulitakiwa tuweko barabarani kuupinga huu ukoloni mamboleo.
Tanzania si nchi huru, uhuru wetu uko wapi? Hatuna maji, hatuna makazi bora...
na aliyekwambia kuwa mjaluo si mwanadamu na hata ukashindwa kumthamini ni nani? Nyie ndo walewale mlokuwa brainwashed. Jaribu kuuthamini utu wako na wa mwenzako otherwise what you are saying is just crap
Mie nahisi kama nashambuliwa badala ya kusaidiwa, huyu mtu ni rafiki yangu wa kawaida, na ni mtu wangu wa karibu sasa ukiniambia niwe nyumba ndogo yake unanikosea na sina romantic attraction yeyote kwake. Sasa mtu kuomba ushauri ni dhambi jamani?
Mie ninae rafiki yangu wa kiume, tu marafiki wa kawaida tu. Tatizo ni kuwa hivi karibuni nahisi hali ya kumkosa sana anapokuwa yu mbali au hatuna mawasiliano. Nahisi kuuhitaji uwepo wake karibu nami au kuwasiliana naye mara kwa mara. tatizo lingine ni kuwa yeye ameoa na hivyo anabanwa na status...
Mie binafsi siamini kama kuna connection yoyote hapo, ingawa hata mie Ex-bf wangu ananisumbua akidai alivyokuwa na mie mambo yake yalikuwa shwari yaani alikuwa na bahati ya kufanikiwa mambo yake especially immedeately baada ya kukutana faragha(hope mnaelewa namaanisha nini). So anadai baada ya...
mmh! kweli ni tatizo jitahidi kujichangamya my dear kwani kwa kujifungia unaweza ishia kucommit suicide. Huwezi jua your mr. right utakutana naye wapi, so kutana na wato, give yourself an outing na Mwombe Mungu sana atakutimizia
Hahahaaa, mie nakumbuka kuna mkaka mmoja alikuwa jirani yetu, nikiwa Form 3, basi akawa akiniandikia barua za kuntongodha, nikamwambia simtaki weee! Akanirudishia majibu kwenye TP(aka Toilet Paper) wee siku hiyo nililia hadi nkaugua
Mie binafsi naona hata sisi wenyewe ni wabaguzi, hebu fikiria binti mwenye rangi nyeusi haphapa TZ anapopita mtaani, utasikia watu wakisema "Dah! huyu mtu ni mweusiiiiiiii" au wengine watamtania "CHEUSIIIII" it pains you unabaguliwa ndani ya nchi yako mwenyewe. I hate it kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.