Naye je? Mbona wizara aloiongoza ilitolewa taarifa na CAG kuwa kuna figisu figisu ktk matumizi ya fedha za umma. Aache uwongo huyu John mana utagombeaje nafasi usoijua!!! Urais raha aache udanganyifu kabisa, mbona haachi madaraka kama mambo ni manzito??? Ndo mana imeandikwa toa boriti jichoni...
Taarifa ya CAG bungeni 2016 ilisema kuwa pana ubadhirifu mkubwa sana wizara ya ujenzi, je waziri wake alikuwa nani? Meli ya samaki waziri gani aliikamata? na baada ya hapo serikali ilipa fidia baada ya kushindwa kesi. Hv ni nani asojuma utajiri wa JOHN! Ndo mana imeandikwa kwanza boriti...
Hv yale magari ya bei kubwa serikali imestisha kuyanunua mana Pinda alisema hayatonunuliwa tena? Lakn serikali awamu hii bado wanaendelea kuyanunua toka Toyota .
Hao watendaji wanzuri wapo wapi mana figisu figisu tu!!! Kabla ya kutoa kibanzi jichon pa mwenzako anza na boriti jichoni mwako, hv majipu mtumbuaji hana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.