Search results

  1. KAKA A TAIFA

    Uchaguzi 2020 ACT, CHADEMA na NCCR pamoja na vyama vitakavyoona ni vema, waungane

    Wamchague gwiji atakayenogesha ushindani na CCM. Mgombea mwenza awe Fatma Karume Waziri Mkuu - Zitto Kabwe Waziri wa Sheria na Katiba - Tundu Lissu Waziri wa Maliasili -- Mch Msigwa Waziri wa Elimu - James Mbatia Nk
  2. KAKA A TAIFA

    Mabadiliko yanaletwa na waliomo ndani kutoka nje na kusema yaliyomo ndani

    Kambarage aliona mbali,akasema mabadiliko yatatoka ndani ya chama tawala.Kwasababu aliye ndani anayajua vyema ya ndani hivyo akitoka nje akachanganya na ya wengine ndiyo tunaweza kuona mabadiliko Makubwa Na pia nyuma yake ana watu wengi ndani na nje ya chama tawala. Na pia alikuwa ameshajipanga...
  3. KAKA A TAIFA

    Benard Membe: Trump alishindanishwa na wenzake na akashinda kugombea awamu ya pili

    Nadhani kila mtu Mtanzania yupo huru kugombea ili aende kwa wananchi wamchambue kama ana uwezo,sifa,na kama anakubalika ili wamuulize nini aitaifanyia Tanzania na walinganishe kama amefanya nini kijijini ,wilayani au mkoani kwake mpaka aone anaweza pia kufanya kwa Taifa letu
  4. KAKA A TAIFA

    Nasumbuliwa na mawe kwenye figo ,msaada wa haraka inahitajika

    Ninalo suluhisho ya tatizo hilo .Wasiliana nami kwa email hii dtiboys2men@gmail.com
  5. KAKA A TAIFA

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba: Naagiza aliyemtolea bastola Nape Nnauye, achukuliwe hatua

    Nadhani kila jambo lina mwisho,cha msingi tuombe mwisho mzuri.Kama Mwl Julius alivyosema HAKI NI THAMANI YA UBINADAMU na JASHO la Wananchi Wazalendo lipo kwao na kwa Mungu.Hivyo HAKI na JASHO(UTENDAJI KAZI) wa Walala hoi vitalipwa na matokeo ya UZALENDO WA WATAKAOSIMAMIA UKWELI WA HAKI ZA WENGI.
  6. KAKA A TAIFA

    Uchambuzi Wa Habari: Nape Hakwenda Na Midundo, Ilikuwa Lazima Aondoke..

    Time will tell you aint seen anything yet.
  7. KAKA A TAIFA

    Mbunge wa Mtera, Lusinde amehojiwa na Polisi kwa madai ya kuchochea wananchi kujichukulia sheria

    Aliwahi kuandika zuio la maendeleo hapa nchini ni Wachagga na Waislam
  8. KAKA A TAIFA

    Rais Magufuli aagiza watumishi wawili waliomdanganya JNIA kuchukuliwa hatua

    Uko sahihi lakini kuwawajibisha halina time frame.Waweza kushitakiwa hata baada ya kifo chako na hukumu ikatolewa ili iwe mfano na kielelezo kwa kutumika kwa kesi zijazo.Kosa halina mipaka ya adhabu
  9. KAKA A TAIFA

    Rais Magufuli aagiza watumishi wawili waliomdanganya JNIA kuchukuliwa hatua

    Ni sawa tulikuwa tumefika pabaya ni lazima tubadilike
  10. KAKA A TAIFA

    Daktari: Azoospermia ni tatizo gani?

    Azoospermia is the medical condition of a man not having any measurable level of sperm in his semen. It is associated with very low levels of fertility or even sterility, but many forms are amenable to medical treatment. In humans, azoospermia affects about 1% of the male population[1] and may...
  11. KAKA A TAIFA

    Ni watoto na ndugu wa viongozi wa CCM tu ndio waliobaki kuipigania kufa na kupona

    Aidha ni viongozi wenyewe ,watoto wao,marafiki,ndugu,jamaa na wanaofaidika na hizo keki ambazo ni sawa na kumnyima maskini dawa ya aspirini ili akanunue kwenye duka ambalo ni la wenyewe.Dhambi ni nyingi na mwisho ni HUU.watanzania wanataka MABADILIKO KWANI YATALIPAAAAAAAAAAAAAAAA
  12. KAKA A TAIFA

    Msekwa: Lowassa ndio nani kwa CCM? Ametawaliwa na tamaa, uchu wa madaraka. Mtikila kwenda kortini

    Uhuru wa mtu ni nafsi na.Utu wa mtu ni ubinaadamu.Mtu ni UTU.Demokrasia ni sehemu ya UTU.na Uhuru ndio Maisha.Ila Maisha sio Uhuru.Umasikini unatokana n, UTU USIO HURU katika DEMOKRASIA YA UTU.Uhuru huleta Maisha yaliyo na DEMOKRASIA.UWOGA NA UMASKINI VINANYIMA UHURU NA DEMOKRASIA.UKIKATWA-...
  13. KAKA A TAIFA

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    nadhani kama ni kiongozi yule ni mchapa kazi.kama ni mali hata wabunge wanazo .maana wanaingia madarakani wakiwa maskini wanatoka na 3230000.je ukiwa mkurugenzi,naibu waziri na waziri utakosa kuwa tajiri kwa siasa za nchi hii.nadhani tutafute njia zilizo bora kuboresha mfumo wa utawala ila...
  14. KAKA A TAIFA

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    Ambaye ni dikteta kwa uongozi wa haki,kulinda rasilimali za nchi,kuleta maendeleo kwa wananchi,kutoa fursa za ajira,kufuta misamaha ya kodi za uwekezaji/madini,kuimarisha miundo mbinu,kuanzisha uwekezaji kwenye research,bora sera ya elimu .mapori yaliyowazi yagawiwe wakulima na wafugaji.awe na...
Back
Top Bottom