Jamani wasalam wanajamvi mm huwa najiuliza sana kuhusu watu kuwa na kasumba ya kukumbushia penzi kwa mtu aliyeachana naye muda mrefu na kila mtu akaenda kwenye njia zake nyingine labda mwanaume kaoa au mwanamke kaolewa lakini utashangaa mwanaume akikutana na huyo mpenzi wake wa zamani anataka...
Habari zenu wana jamvi?
naomba kukaribia nipate pumziko la kifikra maaana huko nilipo toka ni majungu, fitna, unafki, uzandiki...... du na kila kitu!
Naamini hapa nitabwaga moyo, au nimekosea wapendwa??
Twende pamoja!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.