Search results

  1. S

    Mbinu 20 za kuandika habari za mabadiliko ya tabianchi

    Nimekuandalia mbinu 20 za namna bora ya kuandika habari za mabadiliko ya tabianchi. Mbinu hizi zimetokana na maoni yangu binafsi ambayo yamepitiwa na Mhariri wa jarida la Mtandaoni la Indian Ocean na Mchambuzi wa mambo ya mazingira katika ukanda wa bahari nchini Kenya, Wanjohi Kabukuru, naamini...
  2. S

    Msaada: Mbegu za bata mziga/vifaranga vinapatikana wapi?

    Nahitaji kujua mambo matatu waungwana 1. Upatikanaji wa mbegu za bata mzinga, pengine bata mzinga ambaye anaweza kutaga au vifaranga. 2. Chakula chake ni kama cha kuku wa kawaida au? 3. Banda la kufugia ni kama la kuku tu au likoje?
  3. S

    Msaada wajameni: Hoteli gani zina swimming pool mkoani Morogoro?

    Ndugu zangu naulizeni wenye majina ya hoteli zenye swimming pool mkoani morogoro, ni research ndugu zangu
  4. S

    Kesho kutakuwa na mgomo wa madereva wa daladala Manispaa ya Morogoro, jiandaeni

    Habari zilizotufikia punde zinaeleza kuwa kesho kutakuwa na mgomo wa madereva wa daladala kwenye Manispaa ya Morogoro. Mgomo huo utazihusisha daladala za maeneo yote ya manispaa ya Morogoro jambo ambalo litapelekea kuwepo kwa shida kubwa ya usafiri mjini hapa. Sababu za kufanya mgomo huo...
  5. S

    Video: ITV News ya UK yapeleleza biashara ya NDOVU nchini, yawarekodi wauzaji bila ya wao kujua...

    Mwaka huu umeanza kwa aina yake kwa serikali ya Tanzania, vyombo vya habari wa mataifa ya nje ambavyo ndio hasa vimekuwa vikiaminiwa na viongozi wetu wengi kwa kuvipa ushirikiano mkubwa vinapohitaji ufafanuzi wa mambo fulani na kuvipuuza vyombo vya nyumbani na waandishi wake. Sasa...
  6. S

    TMA wametoa tena tahadhali ya kuwepo kwa upepo na mvua kubwa usiku wa Feb 7, 2014, isome hapa

    TAHADHARI: 1. UPEPO MKALI NA MAWIBI MAKUBWA YANATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA TANGA, PWANI, DAR ES SALAAM PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA. 2. MVUA KUBWA INATARAJIWA KATIKA MAENEO RUVUMA, LINDI, MTWARA MOROGORO KUSINI, SINGIDA NA TABORA.TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI. UTABIRI WA...
  7. S

    Picha: Jionee design mpya ya 2014 ya mikoba na viatu vilivyotengenezwa kwa kutumia vitenge

    Tunapokaribisha mwaka mpya 2014 ni vyema pia kupanga mambo mengine upya na kuyaweka katika ubora ili kuweka tofauti kubwa kati ya yale tuliyoyafanya mwaka uliopita na yale tutakayoyafanya mwaka huu. Basi katika swala la mavazi na viambatana vyake nimeona ni vyema kushare nawe viatu vya...
  8. S

    Nani kati ya hawa kurithi mikoba ya IGP Said Mwema?

    Nimeupata ujumbe huu mahala nikaona niupitishe na kwenu wanajukwaa "Wanaotajwa sana kulingana na vyanzo mbalimbali na nukuu katika baadhi ya vyombo vya habari ni Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya DCP Diwani Athumani,cheo ambacho ametunukiwa hivi karibuni Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza...
  9. S

    Niliyojifunza kwenye safari yangu na Auric Air kutoka Morogoro kwenda Dar es Salaam

    Novemba 15 mwaka 2013 Shirika la ndege la Auric Air lilianzisha safari mpya za ndege za kila siku kati ya Dar es Salaam na Morogoro ikiwa ni mipango yake ya kuwafikia wananchi wengi katika mikoa mbalimbali Tanzania. Actually, toka safari hizo zianze sikuwahi kupata nafasi ya kusafiri nao...
  10. S

    Fursa: Mafunzo ya kupiga vyombo/ala za muziki

    Action Music Tanzania (AMTZ) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza desemba 19 mwaka huu, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi. Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala...
  11. S

    Amenipa mwezi mmoja niwe nimeshamuoa vinginevyo ananiacha, sina mahari nifanyeje

    Habari ndugu, mimi na mchumba wangu tumedumu kwa miaka 8 sasa, hatukufunga ndoa kwa sababu ya kutaka kutimiza malengo ya kimasomo, mwenzangu amemaliza chuo mwezi wa sita mwaka huu na mimi ndo nimemaliza mwezi uliopita, kinachosubiriwa ni kwenda kulipa mahari ili kufunga ndoa, kwa kuwa nilikuwa...
  12. S

    Meli ndogo ya mizigo yazama kilwa masoko

    Mtu mmoja aliefahamika kwa Jina la Nice Mtega fundi mkuu wa Meli ndogo ya mizigo iitwayo MV MERCI II inayomilikiwa na Semuhungu Shingiro anahofiwa kufa maji baada ya kutoweka kwa zaidi ya masaa 36 toka kuzama kwa meli hiyo katika bandari ya Kilwa masoko. Akiongea na Globu ya Jamii hii...
  13. S

    Mpya: Maeneo 10 ya kutembelea msimu wa Krismas na Mwaka Mpya

    Tanzania inaorodha ndefu ya vivutio vya utalii ambavyo vinasimamiwa kikamilifu na Shirika la Hifadhi za Taifa la Tanzania (TANAPA) lakini kuna ambazo zinafaa kutembelewa wakati huu wa sikuu kuu ambazo ni pamoja na hifadhi ya Taifa ya Arusha, Katavi, Mikumi, Manyara, Ruaha, Rubondo, Serengeti...
  14. S

    Ngoma ya baikoko ni utamaduni au laana? nakwenda Tanga msaada wenu jameni

    Ninajiandaa kwenda zangu mkoani Tanga kujifunza mambo kadhaa juu ya utamaduni na ngoma ya baikoko, maana kupitia mitandao mbalimbali nimeona video na simulizi nyingi kuhusu ngoma hiyo ambayo naambiwa ukienda kuitazama ukitoka salama ni jambo la kushukuru. Nimeangalia video yao ambayo nimeweka...
  15. S

    Picha: Twiga akiogelea kwenye swimming pool huko Monduli

    Kwenye simulizi za zamani tulikuwa tukiambiwa..wanyama wakaishi kwa raha mstarehe, sasa ndo kilichojili huko Monduli. Pengine hatujawahi kufikiria kama kuna huyu mnyama anayeitwa Twiga kuwa anauwezo mkubwa wa kuogelea. Kwa umakini mtazame Twiga huyu Picha: Twiga akiogelea kwenye swimming pool...
  16. S

    Freedom Ship: Meli kubwa kulikozote duniani, kutumika kama jiji linaloelea

    Kampuni moja ya Florida, Marekani imekuja na dhana ya kujenga meli ‘Freedom Ship’, itakayokuwa na uwezo wa kuwa na kila kitu cha kuifanya iwe jiji linaloelea kwenye maji. Wabunifu wa dhana ya meli hiyo wametoa picha za computer za kile wanachoamini meli hiyo itakavyokuwa pindi itakapokamilika...
  17. S

    Ngiri: Mnyama mtukutu mwenye mbio za kupokezana vijiti

    Ngiri ni Mnyamapori mtukutu huwasumbua wakulima wa mihogo na viazi vitamu hivyo hulazimika kuwindwa lakini huweza kukimbia kwa kasi kati ya kilometa 48 kwa saa kwa urefu wa mita 200 mwendo ambao ni wa kasi zaidi kuliko wanariadha yeyote duniani. Ngiri ana pua kubwa,macho madogo na mkia mdogo...
  18. S

    Msimu wa sikukuu: Nauli za mabasi ya mikoani na treni

    Mabasi Dar -Iringa Ordinary Bus Tsh18300, Semi Luxury Bus Tsh26300, Luxury Bus Tsh28900. Ordinary Bus Tsh21500, Semi Luxury Bus Tsh29700, Luxury Bus Tsh32600. Ordinary Bus Tsh22700, Semi Luxury Bus Tsh32800, Luxury Bus Tsh36000. Dar -Babati Ordinary Bus Tsh29000, Semi Luxury Bus...
Back
Top Bottom