Habari za jioni,
Aisee tangu jana laini yangu ya tigo lipa haikubali kuhamisha pesa zilizopo kwenye laini ya tigo ya wakala sasa kuna laki saba na ushee na pesa haitaki kuhama mara naambiwa network error, inajicancel tu au inasema huduma hii haipatikani kwa sasa Dah mtaji wenyewe wa kuunga...
Mimi ni wakala na nina laini za uwakala za mitandao yote: Tigo, Voda, Halotel, na Airtel. Sasa, kwenye hizi laini, Airtel ndiyo wanaongoza kwa kunipa kamisheni kubwa. Hii ni kwa sababu huku kwetu kuna wateja wengi wa mtandao huu. Pia, nina laini za lipa kwa simu kwa mitandao ya Voda, Tigo, na...
Habari zenu wa ndugu,
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina degree ya ICT na pia nina advance diploma in education na nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka minne sasa kwenye shule fulani ya serikali hapa dar kwa mkataba wa kujitolea na malipo madogo ya posho.
Nina ujuzi wa kutosha wa kuwapa watoto...
Nimekuwa na shida ya macho yenye uoni hafifu kwa miaka kama mitatu sasa siwezi kuona maandishi madogo hata nikitumia lenzi yeyote ya miwani nilienda CCBRT waliniandikia dawa nyingi lakini nilipokuwa nameza sikupata nafuu nikaamua kwenda Muhimili kwa bima niliyokatiwa na mzazi baada ya vipimo...
Habari za muda huu wadau!!!
Aisee kuna denti mmoja baada ya kumaliza kidato cha nne kaja kukaa hapa home kwa ndugu yake ambaye ni mpangaji katika nyumba tunayoishi.
Sasa katika kuzoeana siku nikakapiga sound kakakubali lakini kakaniambia kuwa ni bikra na hajawahi kukutana na mwanaume...
Sherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe
Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili ukipita unakuta wanafanya vitu vya ajabu sana aisee inachukiza mno
Hivi hawa huwa wanalipwa?, wanakodiwa...
Habari zenu wadau, kuna jamaa mmoja huko zimbabwe anaitwa Tafadzwa Fichani amejisifu kuwa amekwisha kulala na wanawake zaidi ya 1000 hadi sasa
Huyu jamaa anajihusisha na biashara ya kuuza madini katika eneo la Zenda huko Zimbabwe kutokana na biashara yake amekuwa akiwatumia wanawake kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.