imekua desturi sasa kila kiongozi wa ccm kuanzia boss wao akipata nafas ya kuongea lazima awanange na kuwasimanga wote waliokosoa utaratibu wa manunuz ya ndege kua eti walipinga kununua lkn sas ndo wa kwanza kuzipanda ccm kumbukeni hizo ndege zimenunuliwa kwa pesa ya watanzania wote wala si pesa...
Hii nchi ilipofikia tusiombe tena ila tutubu tu labda kuna mzee nilifikirigi ana elimu kubwa lkn anaongea mashudu tupu anadai yale makontena yaliyokua na matrekita na masofa yalikua karibu ña makontena ya makonda tu śo watu wakafikiri ni ya bashite
Wanabodi toka jana na wk hii yote vituo mbalimbali vya radio na Tv vimekua vikimfanyia interview huyu jamaa anajiita teacher allen baada ya kutoa wimbo wake unaoitwa "wachakumbimbi" ambae ni inasemekana ni mwl bora wa lugha na pia ni lecture wa chuo kimoja hapo dar pia anasema yeye ndo hua...
Wanabodi baada ya kuzuka utata kwenye hivi vingamuzi kuhusu FTA tumeona channel nyingi za local zimeondolewa kwenye Azam,Zuku nk lkn hili li Tbc lipo halijaondolewa kuna exempt gani inayoifanya iwepo?Azam wameondoa zote kasoro TBC
Kwa kweli nilichokiona leo kwenye kipindi cha tbc ambapo maprofesa 3 mmoja toka sua mwanamama na wababa 2 toka udsm daaah mmenifanya nijiulize ni kweli mlikuwa mnatumia elimu yenu kichwani au? Muda wote kila sentensi moja lazima mumtaje magufuli kwa kusifu na yule mtangazaji mzee wa tbc sijui...
Mh Rais Magufuli amesema ktk hafla ya kuzindua taasisi ya Jakaya Kikwete hana mpango wa kuongeza muda na atastaafu haraka muda wake kwa mujibu wa Katiba ukifika kikomo,na kaomba wastaafu wenzake wampokee vizuri.
Mwaka 2020: Dkt. Magufuli amesisitiza hivi > Uchaguzi 2020 - Dkt. Magufuli...
Kwa kweli tumekua watu wa ajabu sana ,viongozi wote tumemuachia magufuli afikiri juu yetu
Kuna utaratibu wa ajabu Sana kuwa siku ya jumamosi utakuta maduka asubuhi yamefungwa mpaka saa nne eti sababu ni usafi na ukifungua unakamatwa faini 50000,
Kwanini serikali isiwaruhusu watu wafungue then...
Wanabodi,kwa kweli Jana nimejisikia vibaya sana pale kwenye tukio la upigaji picha na mh Rais kwenye uzinduzi wa ujenzi wa reli ya umeme,tukio la kusikitisha ni pale walipoitwa viongozi wa vyama vya siasa,Shibuda ndio alikuwa wa kwanza kufika na akasimama nyuma ya kiti cha Rais Magufuli baadae...
Ameyasema leo asubuhi kwenye mahojiano ya kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa live na clouds TV. Amesema kitendo cha kupigwa Lissu risasi ni tukio baya kabisa kuwahi kutokea kwa mbunge kushambuliwa na hilo tukio ni la kulaaniwa.
Amesema anaungana na Nape kuhusu TISS itazamwe upya anasema...
Fuatilia LIVE kinachojiri kwenye mkutano huo jijini Dar..
-----
Updates..
Wakati wakuu wa idara za ardhi katika wilaya ya mkoa wa Dar wakijibu maswali ya mkuu wa mkoa, mmoja amepoteza fahamu na kuanguka chini. Jerry Murro alikuwa nyuma yao sina hakika kama amewahi kumdaka..
Hata hivyo...
Leo clouds naona mmeamua kutuletea vuvuzela la CCM kuja kutuchekesha asubuhi hii huyo mh Msukuma mbunge wa Geita ambaye anajiita msemaji wa CCM na kuna tetesi jamaa kalipia kipindi ili ahojiwe amwage mashudu yake kumchafua Lowassa
Tanapa mlitoa nafasi za kazi na mkasema watu watume maombi online,lkn cha kushangaza hio system yenu sio user friend kabisa inakuambia unconfirm email ila ukienda inbox pale wanaposema click to activate ukiclick hakuna kitu kinachotokea matokeo yake huwez kutuma maombi ,tunaomba hizi siku 3...
Wanabodi na wakuu, nimepata mshtuko mkubwa sana kwa wiki moja hii baada ya xmas kumekuwa na ukimya sana wa kada maarufu wa CCM mkuu stroke na baadhi ya UVCCM wenzake humu jukwaani
Naomba mwenye taarifa zao atujuze nini kimewapata member wenzetu, huu ukimya si kawaida yao kabisa.
wakuu nilikuja hapa kulalamika cost kubwa nayopewa na mawakili wakati was Ku verified vyeti ambako nilikua nachajiwa 5000@ cheti,so kila nilipokua natuma application ilibidi 30000+ initoke ,lkn member humu walinishauri niende mahakama za wilaya au mkoa huko kuna cheap cost ,na kweli leo hapa...
wanafunzi wa vyuo vingi Leo wamepelekwa kwenye mkutano wa ccm kupewa kadi za ccm,imebidi baadhi ya vyuo masomo yahairishwe mfano hiki Chuo cha DECA ambae mkuu wake ni kada mtiifu wa ccm ndo kimeathirika baada kupeleka vijana wengi kupewa kadi ,nakumbuka ilikatazwa kufanya siasa vyuoni hii imekaaje
Platinum ni bar ya kawaida sana haifikii hata rosegarden, royal village,capetown, rainbow nk ambako huko kote bei ya soda ni 1000, lkn wao soda ni sh 1500, kwa kweli hata kama vyuma vimekaza hio sio solution ya kuviregeza,naomba vyombo husika vifatilie hizi bar ambazo hazina ubora wa kimataifa...
Kuna wamama wamevaa nguo za ccm wanatembeza pesa hapa warid lodge iliyopo makole karibu na mahakamani naona wanaopokea wengi ni vijana wa kike na wamama mmoja mmoja anaingia chumbani na wapangaji wote tumeondolewa ambao si wanaccm,kwa hali hii inayoonekana mapambano ya rushwa yaimarishwe,
Habari wakuu naomba msaada,
Nataka kuanza safari ya kwenda Namibia kwa njia ya basi.
Je inawezekana kwanza? Pili niwe na document zipi ili nisisumbuliwe njiani na niandae kiasi gani njiani na wanatumia hela gani huko?
Mwisho kazi gani za ovyoovyo naweza kupata fasta na mkoa/jimbo gani kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.