Jamani eeh.. nmeona weng wanasema kuhusu kuokota noti ndio ishara nzuri.. mwezi kama wa tatu kama sio wa nne niliota kuokota hayo manoti tena mengne yalikua yananitoka tu mfukoni ila ukata nilio nao kwny real life acha tu.. sasa which is which hapo
Si nilisema tunachat na bamkubwa kanituma humu.. nafkr unajionea.. huyo inawezekana tayari ana barua ya kuriport wakat wenzake wanaenda kubanwa kingereza kwny oral😂.. maana hajui hata oral lini
Hao ndio hata usiwaongelee bro.. hii ya juzi walioenda inasemekana kila mtu ana ndugu polisi au takukuru penyewe.. watoto ambao wazazi wetu walikimbia umande kazi tunayo
Meaning of wcf
Objective of wcf
Elements za wcf comparing na other workers compensation funds universally yani
Na lingne nmesahau.. ila hakukua na swali la kufkrisha
Sijawah pishana na uwezo wangu wa kufikiri.. bachelor yangu ya miaka minne sijawah supp nije kushndwa pepa ya maswali manne yanayouliza maana, objective, elements za taasisi husika!? Tanua fikira mkuu
Nmegundua naweza kuwa nabishana na wale usije kwny interview barua yako ipo.. au wale mliokua mnajitolea mkapewa pande so mnaogopa interview itafutwa kama ile ya TRA!?
Akili ndogo sana mkuu.. kwahyo kwasababu wa kwanza kabambikiwa 66 ndio ugumu wa pepa unaonekana hapo!? Pepa ilkua simple.. huwez ulizwa maana ya wcf.. ushnwe.. objectives.. elements.. na kila swali lilikua na 25 marks kwahyo ukose maswali matatu 70 kwny maswali yalioulizwa kama hayo
Angeleta mwengine ambae hajapita.. umeona nmefeli peke yangu hapo!? Kwahyo almost 2000 individuals wenye uwezo wa kupambanua na kujibu maswali walikua 34 tu!? Akili ndogo sana mkuu
Yani acha kabisa.. juzi ndugai alichokua anakisema ndio wamekifanya.. nahis wcf walikua na watu zao.. the same thing naskia imetokea kwa hawa wanasheria wa serikali.. madogo waliotoka intake ya kwanza waliambiwa watachukuliwa na wengi wameenda.. sasa transparency iko wapi hapo.. wanashusha hata...
Sina mengi ila Utumishi kwenye hii Interview ya Compliance Officer mmetuonea. Pepa imepigika Jumamosi, leo matokeo, mchanganuo wa marks hueleweki, watu 33 tu ndio wameitwa oral.
Mnatufanya tujiulize uwezo wetu wa kufikiri kama ni mdogo kiasi hiko au vipi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.