Mwanzoni alivyaanza, katibu wa wizara ya afya alisema kupitia kipindi cha asubuhi TBC kuwa alipigwa marufuku kwa kukiukwa maadili ya utabibu ya kutangaza dawa zake kwenye vyombo vya habari.
Kwa muda hakuonekana akiwahadaa wananchi, mara ghafla akaanza tena kuonekana,sijui ni nini...
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.