Safari hii mtajuta kudandia hoja ya katiba wakati haikuwamo katika ilani yenu,ndomana ,mnatokwa povu na kujitia upofu mkidhani mtatuaminisha watz kuwa mwalimu katukanwa.Rekodi zipo sawa na mtajionea wenyewe matokeo ya kuikataa rasimu.Mnaleta hoja za uchochezi kuhusu pemba na unguja mkidhani...
Wanalitumia jina la mwalimu kama hirizi yao kisiasa wakifikiri bado tupo miaka ya 90.Hata iweje chama tawala kisipojifunza kusema ukweli gharama yake itazidi kuwa kubwa kila uchao
Nahisi huu uzi uko under 'mirror' sababu kuna vitu naandika afu vinafichwa,mods hebu niambieni kama ni makosa kutaja jina la gazeti humu jf ili nisirudie makosa
Mmoja kati ya wamiliki wa baa hiyo iliyokumbwa na masaibu hayo ni Ndg.Angelo Mwoleka,yule mwandishi wa habari wa siku nyingi ambaye kwa sasa anaandika habari za utafiti katika gazeti la "-----".Mengi yatasikika katika hili,tuwe na subira
"waliozoea vya haramu,vya halali hawaviwezi,waliozoea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi,waliozoea kuishi kwa uongo ukweli hawauwezi" Tundu Lissu. Yaani hotuba ya Lissu imekuwa kama unabii ambao umetimia baada ya dk 2 mbele TBC wakakata matangazo.Huo ndo uharamu wenyewe aliouzungumzia Lissu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.